Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Nani Sasa 🤔Sawa, lakini hana sifa ya kuitwa "demu" ndio maana anastahili hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani Sasa 🤔Sawa, lakini hana sifa ya kuitwa "demu" ndio maana anastahili hilo.
Bc yaishe mkuu 😂Oya kausha basi 🤓, una taka kiwake ehh!?
Dirisha la usajili mpya lini mwenezi?Uko sahihi comrade, acha wajinga waendelee kulizwa.
Subiri ukioa mkeo umuite "demu"Nani Sasa 🤔
Bibi ni mkeo, so tumia kikamilifu. Ila Kumbuka habari za 50/50 zisi kupoteze🤓😆Nipo nasoma mawazo ya Vijana ili niji-assess kama nami nakosea kumhudumia Bibi yenu 🤗
Mkubwa hapo ume zungumzia mke, sisi tuna wazungumzia madem- a.k.a saccoss ya kuji tegemea, 🤓😆Unataka kumuhudumia Mama yako, kwani hilo si ni Jukumu la Mzee wako, mbona unataka kuingilia majukumu ya watu.
Wewe una Jukumu la msingi la kumhudumia na Kumtunza Mpenzi/Mke wako Siku zote wakati nawe anakupa tuzo ya kukuzalia watoto wakike na kiume kadri mtakavyo jaaliwa 🤗
Tuta kushitua kijana🤓Dirisha la usajili mpya lini mwenezi?
Naam uko sahihi, watakuja kupinga, mawakili wa saccoss za kuji tegemeaWanawake ni wanyonyaji.... Mpe hela mke wako tu au mzazi mwenzio. Wengine chapa ilale.
Maana naijua hiyo sentesi ni hovyo 😂, so Wana hatu snitchBc yaishe mkuu 😂
Naam, wasi kugeuza saccoss Sasa🤓Kwenye kazi zangu tatu ninazofanya kuna moja nikazi kwa pesa ya starehe ,ambayo pesa ya kuhonga ,mitungi na kuvinjari imo huko huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KATAA ndoa Linda uchumi wakoSubiri ukioa mkeo umuite "demu"
Ndoa bila kutumia ubabe kidogo wa kikanda ya Ziwa lazima ikushinde.Bibi ni mkeo, so tumia kikamilifu. Ila Kumbuka habari za 50/50 zisi kupoteze🤓😆
Mzee zingatia yaliyo muhimu kwako, hizo nyumba za matope hazi ridhiki🤓Kweli Hawa omba omba ni wakuwapiga chini? Mana wanawake wengine wanaweka fashion kuomba omba ,umemtongoza Leo kesho anaanza kuomba omba.
Omba ombamwanamke lazima ahudumiwe, hiyo ni nature, tena kabla hajaomba unatakiwa ujue kua mwenza wako anashida fulani.
Kama huhudumii utasaidia na watu waliotayari kuhudumia
Dah hayo mambo ya 50/50 labda huko daslam 😆.Ndoa bila kutumia ubabe kidogo wa kikanda ya Ziwa lazima ikushinde.
Utafunga Ndoa January ikifika April Ndoa imevunjika
Hayo mambo ya 50/50 endeleeni nayo Vijana, sisi Wazee Wacha tumalizie umri wetu uliobaki hapa Duniani Kwa kuishi tulivyozoea🤗