min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sio rahis mkuu , hawa ni kama simba wakishazoea kula nyama ya mtu sio rahisi kuacha🤣🤣🤣Naam, wasi kugeuza saccoss Sasa🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio rahis mkuu , hawa ni kama simba wakishazoea kula nyama ya mtu sio rahisi kuacha🤣🤣🤣Naam, wasi kugeuza saccoss Sasa🤓
Jombi haelewi Kuna saccoss za kuji tegemea 🤓😆Omba omba
Sasa mkuu viumbe wa hivyo wa nini, tafuta aliye na potential bhana.Sio rahis mkuu , hawa ni kama simba wakishazoea kula nyama ya mtu sio rahisi kuacha🤣🤣🤣
Tuna shituana Wana, asije Lia mtu🤓Tema nyongo mkuu
Mkuu tafuta aliye na potential kwako, Kuna wadada wako vizuri mno.Asante kwa kutukumbusha mkuu. Ila sasa unataka tuto.mbe mtungi wa gesi? Wao ndio wanatupa utelezi lazima tutoe japo kidogo kuendelea kupata utelezi
Babe wako kashasoma na amelike 😁😁Jamani wewe 🧐🧐🤒
Uchumi?KATAA ndoa Linda uchumi wako
Waki mpata aliye na potential, waishi nae kiroho Safi.Wamekusikia
Sawa mwenezi, napiga jaramba hapa😅Tuta kushitua kijana🤓
Endelea kutumia ka kitu kakubwa toto ya wenyewe.Uchumi?
😅
😀😀Sio rahis mkuu , hawa ni kama simba wakishazoea kula nyama ya mtu sio rahisi kuacha🤣🤣🤣
Sasa hata potential bado anahitaji kupata chochote kitu. Lazima ikutoke tuMkuu tafuta aliye na potential kwako, Kuna wadada wako vizuri mno.
Sio hizi saccoss au redio za kuji tegemea🤓
Kaka wa potential ana jitambua, na hata wewe utaona sio mbaya kufanya hivyo.Sasa hata potential bado anahitaji kupata chochote kitu. Lazima ikutoke tu
Acha uchokozi. Lakionaires wana hoja, wasikilizwe!Uchumi?
😅
Mchumba hapaswi kuhudumiwa kabisa kwanza huwezi jua kawapanga wangapi Wanawake hawana shukrani bro labda kama unapesa za kuchezea honga sanamwanamke lazima ahudumiwe, hiyo ni nature, tena kabla hajaomba unatakiwa ujue kua mwenza wako anashida fulani.
Kama huhudumii utasaidia na watu waliotayari kuhudumia