We ni mjinga tu huna uhuni wowote,Wewe hudumia sisi tunakula, ndo nyie mnajinyongaga sababu ya uboya wenu, unajikita wewe ndo baba yake siku ukigundua wahuni tuna mla Tena pande zote kama samaki ndo mnaishiaga kujitundika kiboya
Kuna nini
Achana nae, ana taka kuku chokoza tu🤓Kuna nini
I love you peke ako 🤓Sijasoma mada ila nina uhakika mtoa mada kachezea za mbavu 🐒🐒
Kwani kipi kimekusibu siku hizi mbona mada zako zina walakini kijana 😁😁😁Achana nae, ana taka kuku chokoza tu🤓
Huduma ya vikojoleo ni kuhudumiana. Gesti na kula nagharamia mimi sasa hela apewe ya nini tena.Hawala lakini si anakupa huduma? Km hutaki hivyo kanunue basi
Hapana jimbo langu halina mtu kwa sasa baada ya kusalitiwa😁😁I love you peke ako 🤓
Kaka una jisumbua tu, huyo ni wakili wa saccoss za kuji tegemea 🤓Huduma ya vikojoleo ni kuhudumiana. Gesti na kula nagharamia mimi sasa hela apewe ya nini tena.
Kwamba wanahudumia ndo hawasaidiwi au umeamua ku gaslight mtoa mada??mwanamke lazima ahudumiwe, hiyo ni nature, tena kabla hajaomba unatakiwa ujue kua mwenza wako anashida fulani.
Kama huhudumii utasaidia na watu waliotayari kuhudumia
mwehu kabisaKaka una jisumbua tu, huyo ni wakili wa saccoss za kuji tegemea 🤓
Hamna kitu🤣😂, mbona ni mtindo wangu huu.Kwani kipi kimekusibu siku hizi mbona mada zako zina walakini kijana 😁😁😁
Kaka anatema madini hatari sana, sikutaka uyakoseKuna nini
Jombi ana amua kujipa moyo, USI kute ana misukule ka minne🤓😂mwehu kabisa
Kumbe ndio maana analalamika😄Hapana jimbo langu halina mtu kwa sasa baada ya kusalitiwa😁😁
Lini hiyo🤓, hivi Huku elewa dhumuni la Mimi kuhusishwa na ujinga ule??.Hapana jimbo langu halina mtu kwa sasa baada ya kusalitiwa😁😁
Pamoja mjumbe.Asante Ndugu Mjumbe