Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awapo seriouslyππ
Umeongea kitu kikubwa sana mrembo, na kila mmoja anapaswa kuzingatia. Ni lazima kuingia mapenzini kwa sababu za mapenzi tu, siyo vitu vya pembeni.Ninavyompenda yule mtu, nitaweza vipi kumtesa?
Jamani oeni na kuolewa na watu wanaowapenda, haya mambo ya kulazimisha mapenzi ndio watu wanafikia huku.
Huwezi kumfanyia ukatili mtu unayempenda.
Na yanaishaga vibaya ya hivyo? Sababu hayakuwa na msingi wa mapenzi.Umeongea kitu kikubwa sana mrembo, na kila mmoja anapaswa kuzingatia. Ni lazima kuingia mapenzini kwa sababu za mapenzi tu, siyo vitu vya pembeni.
Mapenzi ya sababu ya ziada huwa hayadumu baada ya sababu za ziada kumaliza muda wake. Mfano uingie mapenzini kwa kumkomoa mtu, ni lazima anayekomolewa akikomoka, basi mapenzi yameisha.
Ova
Utaenda kuchomwa moto mbinguniLadies ukipata nafasi ya kumtesa mtoto wa mama mkwe kwa namna yoyote ile unatuwakilisha vyema
ππππ
π π Una shidaMalalamiko yalikuwa mengi kuwa mnanyanyaswa na wake zenu, mmepata nguvu sasa ya kutetewa na Rais wenu kashapatikana.
Huyu wa kustaafu ameniuma sana.
View attachment 2791184
Hapana hebu niambie
Utaenda kuchomwa moto mbinguni
Usifanye Ivo bana tunakupendaNtakua kuni kwa wengine
Haha ndio maana sipigwi,Sina hulka ya mdomo mrefu...
hizo nadharia zenu za pesa ni uongoya kawaida mnooo...mwanaume kudeka deka.haipendezi...hao wote unaowaona hapo 100%hawana hela!..waimprove pande hizo
πππAcha utoto
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tena yule ataniua ana usela wote wa chuga
[emoji23][emoji23]
Hapo sasa, natoa meno yote ya sebuleni hayo[emoji23]Eti wanasema nikupige!!! Hivi nimejichoka?!![emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sasa, natoa meno yote ya sebuleni hayo[emoji23]
Sema ntashindwa sababu nitakuonea huruma, alafu nakupenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Sema ntashindwa sababu nitakuonea huruma, alafu nakupenda
ulivyo muoga, Ila mdomo sasa[emoji23][emoji23][emoji2960][emoji8][emoji182]
Usinipige mwaya naweza kufa mazima bure