Ni maswali mengi sana kwenye Hili Je ni kwasababu hawapigi mzigo vizuri? Maana unaweza kuwalaumu wanawake Kumbe jamaa performance yake ndogo dk 5 tu kalala fofofo hata kama ni dk chache Mzungu huyo basi unganisha napo ni changamoto swali la pili je ni kwasababu ya uchovu au kuchoka? Je kwasababu ya stress au mood mbaya? au unakuta kuna wengine wana desire ndogo ya kufanya sex Ndio Maana wanawanyima unyumba wanaume zao au kuna sababu zingine tofauti ambazo sizijuiHata sijui kwanini nisiwasemee wenye kunyimana 😀😀lakini wanakwazika kweli