SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ingekuwa tunaonana live na wana jf ningeshapigwa muda
Zamani sana ungeshapigikq[emoji23]

Si ulisema walikua na mpango wa kukutafuta kkoo[emoji23][emoji23], vipi hujapatikana?
 
[emoji23][emoji23]amewavuruga sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ss hivi nimeacha umbea bana
Sema wananianzaga wenyewe afu wanakimbilia kwa mods si uliona siku ile mods walivyoitwa na mtu hekaheka kaanzisha mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3]Yaani usithubutu kukutana na Wana jf[emoji3][emoji3]

Nitakutana na wewe tu kwaajiri ya bro [emoji23][emoji23]
Nilivyokupamba bas kila siku anakuulizia, siku nikimwambia mwanamke mwenyewe member wa jf sijui itakuwaje? [emoji23][emoji23][emoji23]

Mara pap bro naye member wa jf nawaza hapo tu!!
 
Nitakutana na wewe tu kwaajiri ya bro [emoji23][emoji23]
Nilivyokupamba bas kila siku anakuulizia, siku nikimwambia mwanamke mwenyewe member wa jf sijui itakuwaje? [emoji23][emoji23][emoji23]

Mara pap bro naye member wa jf nawaza hapo tu!!
😂😂😂😂Alafu ukute tulikwazana kwenye comment penzi Chali 😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ss hivi nimeacha umbea bana
Sema wananianzaga wenyewe afu wanakimbilia kwa mods si uliona siku ile mods walivyoitwa na mtu hekaheka kaanzisha mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Yule alikua anataka tu upigwe ban, ni mshamba sana[emoji23]
 
Nitakutana na wewe tu kwaajiri ya bro [emoji23][emoji23]
Nilivyokupamba bas kila siku anakuulizia, siku nikimwambia mwanamke mwenyewe member wa jf sijui itakuwaje? [emoji23][emoji23][emoji23]

Mara pap bro naye member wa jf nawaza hapo tu!!
Hapa naruhusiwa kuweka neno lolote?[emoji23]
 
Back
Top Bottom