Hapana Aaliyah she deserves your brother, mm hili nitalisimamia. It's a perfect match[emoji23]
Hapana nafurahi Aaliyah anapata mtu mweye heshima zake na pesa zake mjini [emoji23]
[emoji23][emoji23]Yani wewe endelea tu naona unakuja taratibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi kufanya hivyo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huna lolote unasifia km kweli vile
Hapo unatamani kuachia neno moja matata ili uchafue CV ya cazee
Siwezi kufanya hivyo[emoji23]
Sema lazima tumuweke kikao, asije kumzingua aliyah[emoji23]Tena usijaribu kabisaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm huyo wa kutoa mahari halafu mwanamke akagoma kufunga ndoa ndiyo namhurumia sanaHuyu wa kustaafu ameniuma sana.
Waname wenzangu kila ninapopata fursa ya kutatuaa mapagale a.k.a 0713 za mafeminist hua nawawakilisha vema. Na mpaka mda huu ubao wa record unasoma marinda 48 yameishashugulikiwa ipasavyo.
Kheee..!!! Kwani umegombana kisa Megawati?π€£π€£π€£π€£ Usimsikilize ngalikinja mgombanishi mwaya
Mi huwa nahakikisha hela yote ipo kwenye simu ndo nalewa.Kila nikilewa wife anapita na wallet kama nilikuwa na laki aniachia buku ten la supu na kutolea loki je huu si unyanyasaji wa kijinsiaππ
Halafu ukimaliza kwikwi unampa mbususu..!!πππMie siwez hata kurusha Kofi kwanza muoga hatari hata nimfumanie nitaishia kulia tu π
Na kinachowafanyaga wale makofi ni maneno..!! Ukimzabua moja, kimyaaaa..!!Oky oky πππππππππππ
Sema inaelekea muoga sana wewe...
Ila unaongea mno πππππ€π€π€
Wazo zuri ngoja ni badilishe pin kabisa ya tigo pesa maana hii anaijuaπMi huwa nahakikisha hela yote ipo kwenye simu ndo nalewa.
Watakuja kusema ubongo wako una umeme mdogo πππππNa kinachowafanyaga wale makofi ni maneno..!! Ukimzabua moja, kimyaaaa..!!