SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

NAAM ENDELEENI KUOA,

TUKISEMA KATAA NDOA, MNAONA TUMEPOTOKA.
 
Hapana Aaliyah she deserves your brother, mm hili nitalisimamia. It's a perfect match[emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huna lolote unasifia km kweli vile
Hapo unatamani kuachia neno moja matata ili uchafue CV ya cazee
 
Ila hii dunia ilipofikia hadi raha yan. Kila siku ni mambo mapya tusiyowahi kuyaona
 
Kumbe mliooa mnasota hvo 🀣🀣🀣mwendo ni ule ule
 
Waname wenzangu kila ninapopata fursa ya kutatuaa mapagale a.k.a 0713 za mafeminist hua nawawakilisha vema. Na mpaka mda huu ubao wa record unasoma marinda 48 yameishashugulikiwa ipasavyo.

Unahisi umewakomoa? Hao walikua wanataka pia uwatoe marinda yao
 
Kila nikilewa wife anapita na wallet kama nilikuwa na laki aniachia buku ten la supu na kutolea loki je huu si unyanyasaji wa kijinsiaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kila nikilewa wife anapita na wallet kama nilikuwa na laki aniachia buku ten la supu na kutolea loki je huu si unyanyasaji wa kijinsiaπŸ˜‚πŸ˜‚
Mi huwa nahakikisha hela yote ipo kwenye simu ndo nalewa.
 
Oky oky πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sema inaelekea muoga sana wewe...
Ila unaongea mno πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ€πŸ€
Na kinachowafanyaga wale makofi ni maneno..!! Ukimzabua moja, kimyaaaa..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…