P didy amekwisha wazungu wamedhamiria kummmaliza kabisa. Ila huyo demu Casie amsaidie tu Pdiddy kupotezea hili sakata kwasababu wazungu wanamtumia.
But these fuckers are desperate to finish Didy, hii kesi walishasettle na huyo binti yupo under influence kuifufua, kuna uwezekano wa didy kutohukumiwa kwa chcht zaidi ya kuishia kumchafua tu.
Wametafuta videos zote wakakosa sababu nyingi zingewaweka wasanii wengine wengi tu kibao jela au kuwaharibia image yao, kuna tetesi zinasema videos za parties za didy zikivujishwa basi 100+ celebs kwenye entertainment industry watahusika. Ndo maana wameamua kutumia hii ambayo kesi hake ilishamalizwa.
Long live Didy, kila mtu ana dark part yake. Shida inakuja unaposhirikiana na mtu kwenye dark part na ukaja kumuexpose huku ukitaka ww usionekane. Ngoja tuone hii kesi itaishaje kama sio kutuonesha kina bieber, usher, etc.. wakifirvva na kina rihanna wakipigwa gang bang, sijui itaishaje
Diddy kayatimba, kwa sasa hana uzito mbele ya system ya US, System imeamua na kuweka nia.Kelly, Michael Jackson nk... hao walikua wapole tu na hawakua mamafia.
Diddy namba chafu, ni mafia kabla hajawa illuminati.
Skendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya mpenzi wake wa zamani, Cassie Ventura.
Video hiyo ilinaswa kwenye moja ya hoteli waliyoenda kwa mapumziko mwaka 2016.
Birdman aliwah lalamikiwa na Lil Wayne kuhusu unyonyaji , Hata rick Ross aliwah toa ngoma akimchana kuhusu hizo ishu za kuwadhulumu wasaniii na producers. Hapa nawaza Wakina Skylar watakuwa wamafanyiwa unyaaaam kinyamaaa.Miaka kadhaa iliyopita nikiwa Kwenye mazungumzo na vijana fulani wa majuu maeneo fulani ya washua Nishawahi kusikia kwamba huyu na Birdman majamaa ni makatili ile mbaya!.., maovu na manyonyaji kwa wenzao. Na wasanii kibao mambele washafanyiwa unyama na dhulma na hao majamaa.
Why maovu ya blacks yakirudi kuwa hunt mnataka kutumia weusi wao kama utetezi. Jeffrey Epstein vipi naye alikuwa black? Shida Marekani hata kosa la miaka 40 iliyopita linaweza kuja kukuhunt uzeeni.Mimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
Mimi naona bora kwenye baiskeli watu watajua unavujwa na jasho tu.Na macho kuwa mekundu ni ugumu wa kupiga pedeli.π€£π€£" Bora kulia kwenye Lamborghini..kuliko kwenye baiskeli"
Umesema sahihi Mkuu, lakini kule Kwa wenzetu kitendo cha kumpiga Mwanamke namna hiyo ni abuse ya hali ya juu, hivyo anaweza kukabiliana mashtaka Mahakamani na wakati mwingine kukabiliana na campaign ya kususia biashara zake/Muziki wakeYaliyojiri hatujui mpaka akampiga hivyo tusihukumu kama vile tulikuepo vyombo vitafanya kazi huko kwao sisi tujangaike na mabarabara yetu yaliyojaa mashimo kila sehemu nchi nzimaa
Afadhali umetoa somo.Kipigo si suluhu ya changamoto zenu.Say no to kipigo.Say no again to physical /attack/violence/abuse!Umesema sahihi Mkuu, lakini kule Kwa wenzetu kitendo cha kumpiga Mwanamke namna hiyo ni abuse ya hali ya juu, hivyo anaweza kukabiliana mashtaka Mahakamani na wakati mwingine kukabiliana na campaign ya kususia biashara zake/Muziki wake
Unakumbuka kisa cha Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Rihanna?
Kilichomsaidia Chris Brown ni ile hali ya kujishusha na kuomba msamaha
Otherwise lilikuwa kaburi la kumpoteza CB moja kwa moja π
Binafsi sio muumini wa kipigo, hata kwenye mahusiano yangu sijawahi na ninaomba Mungu anisaidie nisije kunyanyua Mkono wangu kumpiga Mpenzi wangu hata Siku MojaAfadhali umetoa somo.Kipigo si suluhu ya changamoto zenu.Say no to kipigo.Say no again to physical /attack/violence/abuse!
Mkubwa unaonaje ukatoa seminar kidogo namna ya kudeal naoZipo namna ya kudeal na Wanawake wasumbufu/wenye midomo inayoudhi but sio Kwa kipigo. That's my belief
Hata ufanye mambo mema kiasi gani siku dark side Yako ikiumbuka you are over mchizi legacy yake ndio Ina decline hivyoBinafsi sio muumini wa kipigo, hata kwenye mahusiano yangu sijawahi na ninaomba Mungu anisaidie nisije kunyanyua Mkono wangu kumpiga Mpenzi wangu hata Siku Moja
Muhimu kujifunza kujizuia hasa unapopatwa na hasira [emoji120]
Zipo namna ya kudeal na Wanawake wasumbufu/wenye midomo inayoudhi but sio Kwa kipigo. That's my belief
Unataka kusema Mkuu umeshaanza kumpiga vibao yule Mpenzi wako ambaye hamna hata miezi 3 pamoja ππMkubwa unaonaje ukatoa seminar kidogo namna ya kudeal nao