Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Pdidy sio msomali nani alikudanganyaAisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.
Kweli msomali ni msomali tu, nasikia ni jamii ya watu kukumaliza ukimzingua ni dk 0.
Hapo tegemea maandamano
Mwe snoop nae kafilimbwa?Ila Diddy laana zinamuandama. Sasa unawatatua marinda watu kama snoopy dog, floyd Mayweather na kina TD Jake's na rev Sharpton unadhani utapona. Hadi Trump Pdiddy kapitia.
Wamemfungia na safari hii hatoboi. Tetesi ni kwamba jamaa alikua akihonga sana kufunika maovu yake. Lakini pia kuna mtu so powerful kwenye bunge la congress amemzingua, so musika akavujisha madudu yote kwa vyombo vya usalamaAisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.
Kweli msomali ni msomali tu, nasikia ni jamii ya watu kukumaliza ukimzingua ni dk 0.
Hapo tegemea maandamano
Tatizo la didy alikua akitumia pesa kufunika madudu yake, sikuzote pesa hazi guarantee 100% success, at one point ukweli wote hutoka nje, ukiona mpaka black wenzako wanakutenga ( na si 50 tu) japo kuwa 50 amekuwa akitangaza madudu yake before tukio hili, ujue didy ana shida. Even black community inakutenga kuna shidaMimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
Ni kweli MkuuHata ufanye mambo mema kiasi gani siku dark side Yako ikiumbuka you are over mchizi legacy yake ndio Ina decline hivyo
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Ntaondoka na hyo ya kucontrol hasira...hawa watu wanakera sana, Moja nlikuwa na malengo nae aisee alikua na mdomo huyo nlikimbia mwenyw sikutaka kum-wamba makofi, Kuna kipindi mawasiliano yalidorora akaja dar kimya kimya maana anapofanyia kazi sio mbali akaenda geto direct siku ya kufa nyani bn😁siku zote siachagi funguo siku hyo nlimwachia dogo flan wa chuo aliniomba ili angalie mpiraUnataka kusema Mkuu umeshaanza kumpiga vibao yule Mpenzi wako ambaye hamna hata miezi 3 pamoja 😜🙌
Muhimu kujifunza kujizuia hasa unapopatwa na hasira 🙏 (Hii ni mbinu pia ya kudeal nao hao wanaotupatia utamu wa kitandani)
Zipo njia nyingine ikiwemo kuachana naye huyo mpenzi ambaye unadhani ni msaliti kwako mara Kwa mara hivyo hukulazimu kumtia makofi ili kum-shape tabia
Hofu yangu ni kwamba upo mstari mwembamba sana kati ya Uhai na Mauti.....unaweza kumpiga mtoto wa watu kumbe ndiyo ilikuwa Siku yake ya kuondoka Duniani, hivyo maisha yako yote ukaishia gerezani
Maisha bado ni matamu haya
Kuna Nchi ina Wanawake wengi ambao wamekosa Wanaume wa kuwaoa, ndiyo huyo Mwajuma ndala ndefu aje akuharibie maisha kirahisi?
Kama rangi ndio undugu asinge wafanyia vitendo vya kishetani weusi wenzakeHuyo ni ndugu yako wewe. Mbona wazungu wanalindana hata wakifanya uovu. Mtetee niga mwenzako bana.
Ni kweli, huwa ni suala la muda tuFanya uzinzi lkn jua kuwa hautakuacha salama,siku zote mzinzi lazima atakutana na concequnces zake,fanya kautafiti ndugu utagundua hili,huwa ni swala la muda tu...
Pole MkuuNtaondoka na hyo ya kucontrol hasira...hawa watu wanakera sana, Moja nlikuwa na malengo nae aisee alikua na mdomo huyo nlikimbia mwenyw sikutaka kum-wamba makofi, Kuna kipindi mawasiliano yalidorora akaja dar kimya kimya maana anapofanyia kazi sio mbali akaenda geto direct siku ya kufa nyani bn😁siku zote siachagi funguo siku hyo nlimwachia dogo flan wa chuo aliniomba ili angalie mpira
Yule dogo akaingiza manzi yake akaichapa vzr ila yule manzi aliacha baadhi ya vitu na dogo hakuondoa nlipigiwa makelele najaribu kumuelewesha lkn waaapi ndo kipindi pekee nlikaa na opposite sex na Sina hata mzuka
Tuombe uzima tuone hii ngoma itaishia wapi.
Hv ww ulishaona mtu anavamiwa kwake na FEDs na wanakosa kitu?
Na nahisi hata waloanzisha hili sekeseke la diddy wanajilaumu sababu ni timely bomb, ushahidi wa kumpeleka diddy jela maisha upo sana tu, ila unawahusisha wengine weeengi.
Tukirudi kwenye hii video, "There's no case kwa diddy" sabb hio kesi walishasettle mapema kabisa, files zake zimeshafungwa, unless waitumie kumotivate watu wengine alowafanyia assault wamfungulie class action. Na ni hilo pekee ndo wanalolitafuta sabab ushahidi mwingine unawahusisha hadi Wafanyabiashara, entertainers na Gurus wa Manhattan na viunga vyake huko wallstreet, etc...
GSkendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya mpenzi wake wa zamani, Cassie Ventura.
Video hiyo ilinaswa kwenye moja ya hoteli waliyoenda kwa mapumziko mwaka 2016.
We ni MPU.MBAVU si bure.Pdiddy akitaka kupona haitetee taifa teule tu kwa nguvu zake zote.
Maneno ya vijjweni haya, huwezi shindana na Taasisi ukabaki salama. Kumbukeni hapa tunaizungumzia Gavoo ya USA. Mwamba shughuli yake imefika tamati.Kelly, Michael Jackson nk... hao walikua wapole tu na hawakua mamafia.
Diddy namba chafu, ni mafia kabla hajawa illuminati.
🤣🤣Hakuna suala la uzungu wala uafrika. Pdidy ni mnyama. Waafrika mnakosea mkitaka kupewa haki yenu mnataka jificha kichaka cha ubaguzi. Pdiddy alimla mpaka msanii wenu wa kiume mmoja wa hapa Tz. But wanaomfahamu pdidy watakuambia ni mnyama kinyama. Ni mafia. So si suala la wazungu wala waafrika.
Ntazingatia ushauri hasa wa kupiga Moshi tatuPole Mkuu
Kwa muda nilioweza kuyaishi maisha ya Ndoa, nimegundua Mwanamke ukimtunza vizuri (kula vizuri/Kulala Pazuri/mavazi/Saluni/usafiri n.k) then ukamnyima tendo huwa anawehuka.
Ndiyo wakati ambao atakuwa na kisirani/ hasira za mara Kwa mara
Ikifika hiyo stage, hakikisha unamnyoosha kweli kweli Kwa bed
Mpige tatu tatu Kila Siku Kwa Siku tatu mfululizo hutauona huo mdomo wake Wala kisirani chake 😅 🙌
Pia hata kama una makoloni yako sehemu, hakikisha hayajui hata Kwa bahati mbaya.
Hakikisha huna ushahidi wowote wa kumfanya ahisi unachepuka
Sheria ifate mkondo wakepdidy is a fucking psyho.. To jail pdidy