Peleka ujinga wako, Je kama hiyo pisi ilimuibia? Au ilimtukana? Hayo mambo ni kawaida kwa wanaume
Mbona kapapaswa tu huyo? Ukuryani watu wanakula mapanga na mapenzi ndio yanadumu au kwa sababu mtu maarufu ndio asitoe displine?
Mondi au?Hakuna suala la uzungu wala uafrika. Pdidy ni mnyama. Waafrika mnakosea mkitaka kupewa haki yenu mnataka jificha kichaka cha ubaguzi. Pdiddy alimla mpaka msanii wenu wa kiume mmoja wa hapa Tz. But wanaomfahamu pdidy watakuambia ni mnyama kinyama. Ni mafia. So si suala la wazungu wala waafrika.
Hana roots yeyote ya kisomaliAna roots za kisomali, fuatilia, mzee wangu humuoni hata appearence.
Aaah ila Chris Brown alizingua sana lile tukio. Alimpiga Rihanna vibaya sana ukitazama picha za lile tukio unakataa sio Chris Brown alifanya ule unyama. Alimpa mabanzi ya kiume kabisa mtoto wa watu akavimba plus manundu. Sijui kama hakumng'oa meno ya mbele.
Ndio maana Chris Brown alichukiwa sana na ile ndio ilimtoa kwenye game kiasi kikubwa. Chris Brown alikuwa amewakamata mashabiki sana ila lile tukio lilimshushushia points nyingi sana.
Nilicomment wakati mwandishi aliandika kwa kifupi, mods naona walikuja kuendeleza habari.Matatizo ya kusoma kichwa cha uzi pekee na kuanza kuchangia ,hujaona pahala inazungumziwa dola 50000
Mi wala simtetei, nachomaanisha angekuwa mtu mwingine kwa allegations zote zilizotolewa against him angeshakuwa behind bars siku nyingi, anapambana sana kujisafisha, ila this time..... ni suala la muda.Unajidanganya mdogo wangu! Ikithibitika atashughulikiwa vbya sana, bidhaaa zake zitasusiwa na makampuni anayofanya nayo kazi yatasitisha mkataba
Ni vile tu taarifa nyingi za waafrika hazitolewi kwenye vyombo vya habari.Kuna wajiga humu wanamsema didy vibaya wakati baba zao walikuwa walevi wakitoka virabuni wanawapiga mama zao mpaka uchi unaonekana lakini humu wanajifanya wazungu eti didy kakosea fucking kabisa...
hizi kesi walianza na MJJ those daysSkendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya mpenzi wake wa zamani, Cassie Ventura.
Video hiyo ilinaswa kwenye moja ya hoteli waliyoenda kwa mapumziko mwaka 2016.
Kipande cha video kilichonaswa kupitia kamera za CCTV kimeweka hadharani kupitia Kituo cha CNN kikimuonesha nguli wa Muziki wa Hip Hop, Sean "Diddy" Combs akimshambulia aliyekuwa mpenzi wake, Casandra "Cassie" Ventura hotelini Machi 5, 2016.
Baada ya video hiyo kuwekwa mtandaoni, Cassie hajatoa tamko lolote lakini Mwanasheria wake amenukuliwa akisema “Hizo ni baadhi ya tabia za Combs" wakati Mwanasheria wa Diddy hajatoa jibu
CNN imeeleza video hiyo ilirekodiwa katika moja ya Hoteli ya Los Angeles, Marekani, Cassie anaonekana akitoka chumbani kuelekea kwenye lifti kisha Diddy akiwa na taulo pekee anamfuata na kuanza kumpiga, anamvuta kwa kumburuza huku akionekana kutoa maneno kama anamfokea.
Mwendelezo wa video unaonesha Diddy anampiga mwenza wake huyo akiwa chini kisha anakusanya mizigo aliyokuwa nayo Cassie na kuondoka nayo.
Ofisi ya Mwanasheria wa Los Angeles imeeleza “Ikiwa ni tukio la Mwaka 2016 hatutaweza kushtaki kwa kuwa ni shambulio lililotokea nje ya muda unaostahili kufunguliwa mashtaka."
Inadaiwa kuwa Diddy alinunua video hiyo ya hotelini kwa Dola 50,000 alipobaini amenaswa kwenye kamera kwa wakati huo.
"Inadaiwa kuwa Diddy alinunua video hiyo ya hotelini kwa Dola 50,000 alipobaini amenaswa kwenye kamera kwa wakati huo."Aisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.
Ndio maana matajiri kama kina Elon musk hawana time na mbunye...🤣Huu muucik una password, daah kweli kiumbe chenye mbunye Ni hatari sana. Embu fikiri una Pesa ndefu kama diddy afu kimanzi kimoja tu kinakuchanganya akili ... Mpaka unapandwa na mahasira.
Huu mchezo hauhitaji hasira.. Za chini chini Ni kwamba Kuna kampun kubwa la vinywaji ndio lipo nyuma ya hii misukosuko! Kwa sababu diddy naye ana biashara kubwaa ya vinywaji.. mambo ya kibiashara. Naye didy nasikia alitaka kuwapoteza na kuwatoa watu kufwatilia ishu yake kwa kuanzisha beef kati ya Drake na Kendrik sasa baada ya watu kuanza kusahau kesi yake naona mahasimu wanakuja na hii video, nomer sana.
Duhhh we jamaa, kwa uzito wa allegations za Diddy bado unamtetea?But these fuckers are desperate to finish Didy, hii kesi walishasettle na huyo binti yupo under influence kuifufua, kuna uwezekano wa didy kutohukumiwa kwa chcht zaidi ya kuishia kumchafua tu.
Wametafuta videos zote wakakosa sababu nyingi zingewaweka wasanii wengine wengi tu kibao jela au kuwaharibia image yao, kuna tetesi zinasema videos za parties za didy zikivujishwa basi 100+ celebs kwenye entertainment industry watahusika. Ndo maana wameamua kutumia hii ambayo kesi hake ilishamalizwa.
Long live Didy, kila mtu ana dark part yake. Shida inakuja unaposhirikiana na mtu kwenye dark part na ukaja kumuexpose huku ukitaka ww usionekane. Ngoja tuone hii kesi itaishaje kama sio kutuonesha kina bieber, usher, etc.. wakifirvva na kina rihanna wakipigwa gang bang, sijui itaishaje
Umesoma au kusikiliza summary ya allegations za Cassie kwa jamaa?P didy amekwisha wazungu wamedhamiria kummmaliza kabisa. Ila huyo demu Casie amsaidie tu Pdiddy kupotezea hili sakata kwasababu wazungu wanamtumia.