Kariakooking1978
JF-Expert Member
- Jul 11, 2023
- 549
- 1,078
- Thread starter
- #21
5000 mkuuTv ya inch 65 tokaka KKoo mpaka Mbezi Mwisho (Morogoro road) unacharge ngapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5000 mkuuTv ya inch 65 tokaka KKoo mpaka Mbezi Mwisho (Morogoro road) unacharge ngapi mkuu?
Unapata boss wanguNahitaji pikipipi used naweza kupata
Inategemeana na thamani na ukubwa wa tv boss wangu.Kuagiza bidhaa amabayo ishanunuliwa mfano kama tv kutoka kampuni fulani DAR to MOR mjini bei gani
Nikiagiza pikipiki boxer 150 mpaka mbalizi mbeya ni bei gani?Inategemeana na thamani na ukubwa wa tv boss wangu.
Naomba picha au maelezo ya hiyo tv
Mawasiliano:0745645035.
Kwa basi: 90k mkuuNikiagiza pikipiki boxer 150 mpaka mbalizi mbeya ni bei gani?
Incase umekutana na muuzaji wako facebook,instagram,jf nkHizo namba za wauzaji tunatoa wapi!
Bei zinabadilika sana mkuu hivyo kuandaa pdf mara kwa mara itakuwa ngumu.wazo zuri sana hili,mngetengeneza PDF ya Bidhaa mbalimbali na bei zake,kama mwongozo kwa mteja!
Nahitaji air fryer ya bei ya 75,000/- zikawepo nyingi nikachagua.
Ila TV nalipia nikishapokea mzigo?5000 mkuu
Hapana mkuu,Tv inalipiwa kabisa dukani kwa lipa namba ya duka husika.Ila TV nalipia nikishapokea mzigo?
Ha ha ha,Hapana mkuu,Tv inalipiwa kabisa dukani kwa lipa namba ya duka husika.
Sawa boss,tutajitahidi kuleta huduma ya cash on derivery.Ha ha ha,
Kama ni hivyo heri nikaagize kwengine.
WaPo ambao wanaileta na kuifunga ukutani ndio unalipia