Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Jana ilikuwa siku ya Afrika.

Katika kuadhimisha siku hii, MTV base waliandaa show iliyohusisha wasanii mbalimbali kama vile Davido, Burna Boy, Sauti Soul, Nandy na wengine wengiii..

Diamond Platnumz ni miongoni mwa walio perform jana usiku. Aliimba wimbo wa JeJe, Aisee ubunifu wake na full performance imebeba sifa kote ndani na nje ya Afrika.

Nani mwingine alitisha zaidi...???
 
Jana ilikuwa siku ya Afrika.

Katika kuadhimisha siku hii, MTV base waliandaa show iliyohusisha wasanii mbalimbali kama vile Davido, Burna Boy, Sauti Soul, Nandy na wengine wengiii..

Diamond Platnumz ni miongoni mwa walio perform jana usiku. Aliimba wimbo wa JeJe, Aisee ubunifu wake na full performance imebeba sifa kote ndani na nje ya Afrika.

Nani mwingine alitisha zaidi...???
Hata Harmonize alitisha sana tu
 
Diamond akipewa platform kama hivi anajua kupania. Na hicho ndio anachowazidi hawa Bongo fleva wenzake, ni mwendelezo wa organisation kwenye kazi yake.
 
Jana ilikuwa siku ya Afrika.

Katika kuadhimisha siku hii, MTV base waliandaa show iliyohusisha wasanii mbalimbali kama vile Davido, Burna Boy, Sauti Soul, Nandy na wengine wengiii..

Diamond Platnumz ni miongoni mwa walio perform jana usiku. Aliimba wimbo wa JeJe, Aisee ubunifu wake na full performance imebeba sifa kote ndani na nje ya Afrika.

Nani mwingine alitisha zaidi...???
Davido nae alitisha...ila Mzee wa jeje alitisha sana...sema alikosa lile buti tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhhhhhh Kingereza kwako kigumu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Hiyo show wamechaguliwa wasanii wakubwa wanao fanya vizuri ktk music industry ya Africa kwa ajili ya kuchangisha hela kwa waathirika wa Covid19 ina lenga watoto wa Africa.

Dah kweli leo ndio nimekuelewa vizuri,yaani unamchukia mtu mpaka sehemu zisizohusika,yaani wewe ukiambiwa umtengenezee sumu Diamond kwa jinsi ulivyo na roho mbaya utaionja kwanza alafu utampa.

Soma post hizo uzielewe na si kukurupuka.
Jamaa ana chuki iliopitiliza[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom