Biboz
JF-Expert Member
- Jun 4, 2019
- 249
- 201
Jamaa kaona isiwe kesi,Kiki Hakuna Kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu
View attachment 1459491
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kaona isiwe kesi,Kiki Hakuna Kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu
View attachment 1459491
soma comment tu basis,usitutie aibuIlikua live ama?
Mkuu umefanikiwa kushuhudia hayo manunuzi ya hyo airtime?Jamaa kaona isiwe kesi,Kiki Hakuna Kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu
View attachment 1459491
KalagabahoHizi simu zimefanya iwe rahisi kukutana na wapumbavu,msamehe tu!!
Hata Harmonize alitisha sana tuJana ilikuwa siku ya Afrika.
Katika kuadhimisha siku hii, MTV base waliandaa show iliyohusisha wasanii mbalimbali kama vile Davido, Burna Boy, Sauti Soul, Nandy na wengine wengiii..
Diamond Platnumz ni miongoni mwa walio perform jana usiku. Aliimba wimbo wa JeJe, Aisee ubunifu wake na full performance imebeba sifa kote ndani na nje ya Afrika.
Nani mwingine alitisha zaidi...???
Davido nae alitisha...ila Mzee wa jeje alitisha sana...sema alikosa lile buti tuJana ilikuwa siku ya Afrika.
Katika kuadhimisha siku hii, MTV base waliandaa show iliyohusisha wasanii mbalimbali kama vile Davido, Burna Boy, Sauti Soul, Nandy na wengine wengiii..
Diamond Platnumz ni miongoni mwa walio perform jana usiku. Aliimba wimbo wa JeJe, Aisee ubunifu wake na full performance imebeba sifa kote ndani na nje ya Afrika.
Nani mwingine alitisha zaidi...???
Yah ilikuwa liveIlikua live ama?
Alizingua Sana, management yake imejitetea kwamba hawakuuichukulia uzito show
Kwani uliangalia show?Kama kukata mauno sawa, ila sio performance general ya stage
It is never too late to begin. Start now
Jamaa ana chuki iliopitiliza[emoji1787][emoji1787]Mhhhhhh Kingereza kwako kigumu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hiyo show wamechaguliwa wasanii wakubwa wanao fanya vizuri ktk music industry ya Africa kwa ajili ya kuchangisha hela kwa waathirika wa Covid19 ina lenga watoto wa Africa.
Dah kweli leo ndio nimekuelewa vizuri,yaani unamchukia mtu mpaka sehemu zisizohusika,yaani wewe ukiambiwa umtengenezee sumu Diamond kwa jinsi ulivyo na roho mbaya utaionja kwanza alafu utampa.
Soma post hizo uzielewe na si kukurupuka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiba mwenyewe alinunua airtime CNN sema tu hapendi show off akasema wasimtangaze