Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Mbona mim skusikia,nilichosikia n kusema nandy alifanya vbaya
 
Kwa wale mliosikiliza XXL siku ya jana walikua wanaongelea tamasha la MTV Base Africa kwa kushirikiana na YouTube, na Tanzania tulikua tunawakilishwa na wasanii wawili bibie Nandy na mtu mzima Diamond Platinumz.

Basi katika kusifia tamasha hilo b dozen akasema “kama kunifukuza kazi Clouds mnifukuze ila Almasi ameua sana kwenye performance “


!
!
Shida Hiyo Perfomance Ukiiona Unaweza Kudhani Sio Huyu Tunaemsikilizaga....Ngoje Niipitie Maana Hat Hao Kina Bdozen Wanasifiaga Ujinga Wa Fiesta Hivyo Hivyo Ukija Kuangalia Shoo Mbovu Sana. Sijui Hawa Jamaa Wangemshuhudia Bob Marley Ingekuwaje
 
!
!
Shida Hiyo Perfomance Ukiiona Unaweza Kudhani Sio Huyu Tunaemsikilizaga....Ngoje Niipitie Maana Hat Hao Kina Bdozen Wanasifiaga Ujinga Wa Fiesta Hivyo Hivyo Ukija Kuangalia Shoo Mbovu Sana. Sijui Hawa Jamaa Wangemshuhudia Bob Marley Ingekuwaje
Mmhh we nawe hupendi show off nimekushtukia
 
Mmhh we nawe hupendi show off nimekushtukia


!
!
Sasa Mtu Anapanda Anaanza Piga Keleleeeee, Watu Wangu Wa Dar Es Salaaam Mambo Vipiiiii!!? Ukimsikiliza Unaweza Kujua Mbona Hawa Watu Wawili Tofauti Aisee.....Halafu Anakaa Dakika Tano Hahahahahahaha Pumbavu Sana Aiseee
 
angekuwepo mzee ruge wallah asingeongea ivi kabisa na wote wasingekuwa na stori hiyo kwenye kipindi
 
mbona ya kawaida, kwanza kapita na idea ya video ya Drake hahah na yeye kauonyesha umma vile mjengo ulivyo + ndinga alizozipanga parking
ujanja ujanja tuu kucheza kunambeba
 
mnaponiambia Burnaboy ananyimbo nzuri hapo ndipo huwa siwaelewi.
Labda mziki wake ni mzuri mkiwa kwenye vilabu vya ulanz kidogo ile nyimbo inaitwa Angelina nyenginezo kwangu ni kelele tu
n kama anaimba nje ya beat hv yan cmuelewielewi
nnachomsifu amejijengea identity yake anamziki wa peke yake labda wengine wamuige kama alivyo fanya Nuhu mziwanda

Nyimbo zake nyingi ni copies za Fela Kuti
 
mbona ya kawaida, kwanza kapita na idea ya video ya Drake hahah na yeye kauonyesha umma vile mjengo ulivyo + ndinga alizozipanga parking
ujanja ujanja tuu kucheza kunambeba
Kwani unazani mtoto wa Tandale anamfuatilia Drake?
 
mbona ya kawaida, kwanza kapita na idea ya video ya Drake hahah na yeye kauonyesha umma vile mjengo ulivyo + ndinga alizozipanga parking
ujanja ujanja tuu kucheza kunambeba
Kwaiyo drake yeye ndo kwanza kupita na idea ya kushow mjengo ulivyo?

Ukiwa na jealous bana...hata mtu akipost gari lake tu utaona kama ana show off [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dozen ameshakuza jina na brand
Yake +umaarufu kwa hyo anaongea anavotaka
 
Inakuaje Unajiita Msanii Mkubwa na Umepata kabahati ka Kuperform kwenye Show kubwa kama ile..

Unaenda kuperform Copy ya Nyimbo ya Msanii Mwezako? Hakuna Asiyejua Kua Jeje ni Copy..

Nikiwa kama Mdau wa Mziki na burudani Nimesikitika Sana, kweli Kijana Kaisha Ni bora Angeimba nyimbo ya kitorondo Sisi ma-Master wa hili Game tungemuelewa
 
Back
Top Bottom