Shujaa wa uokozi ajali ya Precision alijikuta yupo wodini

hao wakuu walikuwa wapi hadi yeye anafika eneo la tukio. Hata ungekuwa wewe pengine unasikia vilio vywa watu ndani halafu unajifunga mikono eti unasubiri amri kutoka kwa mtu usiyemuona! na hata hujui ni nani na atafika lini!

Mkuu protocol lazima zifuatwe...je angekufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…