Tupewe namba yake tumchangieKijana anastahili zaidi ya li ten yaani 10m.
Kwanza ameokoa uhai wa watu 26 hili ni jambo zito.
Pili ameisaidia na kuiondolea serikali aibu kwa kushindwa kuokoa.
Mwisho walipa kodi wameepushwa na kifo ambacho kingepunguza nguvu kazi na kodi eboo
Kabisa mkuuuMbona wakina mandonga,pierre etc
Wanatunukiwaga
Huyu dogo lazima watamtunuku tu
Ova
Utabiri ukiwa sio wenyewe , utakuwa juu yake alie utoa 😃😃Usirushe ngumi tu🙃😇🤣
Ombi lako la mkopo unaosubiri litafanikiwa soon 🏃Na mie ntabirie
Wale ambao ndugu zao wameokolewa pamoja na shirika la ndege na serikali wafanye jambo hiloTupewe namba yake tumchangie
Mbona mkopp shapata tayari sasa hivi nafanya marejesho tuu 😁😁Ombi lako la mkopo unaosubiri litafanikiwa soon 🏃
Mbona mkopo shapata tayari sasa hivi nafanya marejesho tuu 😁😁Ombi lako la mkopo unaosubiri litafanikiwa soon 🏃
Huyu ndio kijana anayetakiwa kupewa kazi kitengo cha uokoaji tena uyu anatakiwa kupitishwa kazini bila ya kufanyiwa usaili
1mil haitoshi,hao waliookewa na huyo kijana wammwagie mafeza maana bila huyo it was over to themZaidi ya kupewa panadol hapo hospitali hakuna lingine zaidi. Atarudi zake kupambama na uvuvi
UPDATE: Kapewa 1m kwa maagizo ya waziri mkuu.
Kapewa pia 300k na mbunge wa bukoba mjini pia wazirymkuu kamuongezea m3Duh 1 m? Tu?
aseee yuna huyo mpumbavu sijui ni nani?hebu imagine familia ya huyo rubani ikisikia hilo tukio.watajisikiaje?kamati iliyo undwa kuchunguza chanzo cha ajali hii hawana budi kumhoji kwa kina huyu dogo.....maana inaonekana kuna mambo mengi aliyashuhudia.
napenda amtambue na amtaje yule mtu aliye mkataza kuwa asivunje kioo wakati alikuwa anataka kumuokoa rubani.
Na mkuu wa mkoa wa bukoba kampa m1Kapewa pia 300k na mbunge wa bukoba mjini pia wazirymkuu kamuongezea m3
Maelekezo tayari,amepewa ajira......Jamaa shujaa sn,unaanzaje kuisogelea ndege iliyoanguka wakati huwa kifuatacho ni kulipuka.Awe mkuu wa zimamoto nnchini huyu