Abeltrainer
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 245
- 473
Halafu niPia huyu alikuwa mwalimu wa chuo kikuu hana njaa, akiamaua anafanya kazi za ushauri na kuingiza pesa nyingi tu, hawa wanasiasa bado wanakuwa na network zao na hawa viongozi ambao wapo madarakani kwa sasa, sasa hao wanaodai mzee kachoka wanajidanganya wenyewe na hata hizo kelele za huyo chura sasa ndio atamjua Kawambwa ni nani na kibaya zaidi kasahau hizi ni nyakati na zama nyingine, hao akina Kawambwa ndio wenye nchi kwa sasa.
Halafu nadhani ni engineer.. sasa engineer atakosaje hela.. hana hizo njaaEeh mipunga kama kawaida
Nakesho asubuhi nampelekea chai na maandazi nihakikishe kweli yuko lupango, halafu hizi tipper za howo zishakuwa kero nchini nenda maeneo ya geita tarime ziko zinasomba marudio ya dhahabu, mawe mchanga ni hovyo kabisa madaraja yanavunjika barabara zinavurugwa, kuna barabara ya katoro nyarugusu kahama hazifai madaraja yote kwisha, kahama nyandolwa sorwa shinyanga zote kwisha, ni muda sasa tarura wapige marufuku haya malori mwisho fuso kusoma mchanga mawe kokoto marudio ya dhahabuHili issue imeandikwa kishabiki, huyu mzee sio dalali kama mtoa mada anavyosema, issue iko hivi huyo kijana alikuwa Diwani kata ya KIROMO binafsi nilishawahi kwazuruza naye, ana maeneo ya uchimbaji (Dalali) mchanga/kifusi maeneo ya kitopeni, toka amepewa kibali cha uchimbaji huo kumekuwa na uharibifu mkubwa sana wa barabara inayoelekea kwenye machimbo hayo, ili hali waathirika wa hiyo barabara ukiacha wananchi wa kawaida ni pamoja na Mzee Kawambwa na huyo mzee mrefu hapo anaitwa Madondola mstaafu wa Idara ya Usalama (DSO Bagamoyo, Chato amestaafia Kawe 2021).
Hata hivi tunavyoongea huyo kijana na wenzake wapo lockup toka jana wanasubiri kufikishwa mahakamani.
Hayo magari yapigwe marufuku, ni maharibifu sana ya barabara, kanda ya ziwa barabara hazidumu zimeharibiwa na hayo matakatakaNakesho asubuhi nampelekea chai na maandazi nihakikishe kweli yuko lupango, halafu hizi tipper za howo zishakuwa kero nchini nenda maeneo ya geita tarime ziko zinasomba marudio ya dhahabu, mawe mchanga ni hovyo kabisa madaraja yanavunjika barabara zinavurugwa, kuna barabara ya katoro nyarugusu kahama hazifai madaraja yote kwisha, kahama nyandolwa sorwa shinyanga zote kwisha, ni muda sasa tarura wapige marufuku haya malori mwisho fuso kusoma mchanga mawe kokoto marudio ya dhahabu
Tarura wazipige marufuku, hizi lori ni constraction equipment kama bulldozzer zikipita barabarani zinapaswa kubebwa kwenye lowbed loader, sasa sie unaikuta kijichi inashusha mchanga, bullshitHayo magari yapigwe marufuku, ni maharibifu sana ya barabara, kanda ya ziwa barabara hazidumu zimeharibiwa na hayo matakataka
MADAM T n'takuja nikukandamize hako katumbo kako!Unakiherehere wewe!
Ni bora, kuliko kumdharau Dr.MADAM T n'takuja nikukandamize hako katumbo kako!
Sijaelewa umemaanisha nini umeandika kifalsafa sanaNgojeni muone uchovu wake, mje mseme tena, ndio maana wakati wa ukoloni yalikuwepo maeneo yanaitwa uzunguni baada ya uhuru tukaanza kuleta porojo za usawa, juzi kuna mjinga kajenga kituo cha mafuta jirani mama tibaijuka yule nshomile hakumkopesha. Kule mikocheni kuna club ya usiku imejengwa makazi wa watu wanafungulia mziki usiku kucha, madadapoa yanatupa kondomu hovyo na walevi wanakojoa hovyo barabarani hii nchi tabu tupu hatakama ni uhuru usiokuwa na mipaka ni ushenzi tu
Mbona nilisikia kama DAS?mimi nilifkiria DSO Distric Security Officer akili yangu inawaza ulinzi ulinzi tu muda.
Sasa yeye mbona anakaakaa kama hajasoma mpaka anasukumwasukumwa na madalali?Ni bora, kuliko kumdharau Dr.
mkuu, ukiwa huna hela, siku zote utaona waliofanikiwa ni mafisadi tu, utaona mawazili au wastaafu ni mafisadi tu, hata kama sio mafisadi. jua tu kuwa walikuwa mawazili kuwa kupambana wakapewa madaraka, na wewe pambana uwe waziri. maneno matupu ya lawama hayatakuletea ugali kwenye sahani.Mnaombeza huyo jamaa ni kama mnawahimiza mafisadi wazidi kutukamu bila huruma wowote
lakini bado huyo siyo mwenzenu kabisa, na anayejimwambafai hapo kama siyo miongoni mwao basi kazi anayo ni suala la mda tu
Huyo Kawambwa lazima arudishwe kwenye mfumo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ni dso mkuu, tena anamwita mzee wa protocal, nadhani hawa wanajuana wanapimana ubavu,Mbona nilisikia kama DAS?
Kakutwa shambani kwake mkuu, mzee anamakazi poa tu masakiSasa yeye mbona anakaakaa kama hajasoma mpaka anasukumwasukumwa na madalali?
Aiseee! Yule jamaa kwa kweli alinitia kichefuchefu alivyokuwa anamkoromea! Halafu anavyomwita utafikri ni mlalahoi fulani! Eti Kawambwa nakuheshimu!!Kakutwa shambani kwake mkuu, mzee anamakazi poa tu masaki
Yaani we acha tu, anamwita utadhani anaita demu wake, si angemwita professor nakuheshimu, au mzee nakuheshimu, halafu anaongea ka dotto magari, shenzi kabisaAiseee! Yule jamaa kwa kweli alinitia kichefuchefu alivyokuwa anamkoromea! Halafu anavyomwita utafikri ni mlalahoi fulani! Eti Kawambwa nakuheshimu!!
Haya ndiyo huwa yanasababisha mpaka watu wanatekeleza jinai. Sasa fikria una kipaja cha kuku si unalilipua? Eti linamsukumasukuma na kumtishia kumfunga kamba shenzi kabisa!Yaani we acha tu, anamwita utadhani anaita demu wake, si angemwita professor nakuheshimu, au mzee nakuheshimu, halafu anaongea ka dotto magari, shenzi kabisa
Nawasiwasi na jinsia yake!Nakesho asubuhi nampelekea chai na maandazi nihakikishe kweli yuko lupango, halafu hizi tipper za howo zishakuwa kero nchini nenda maeneo ya geita tarime ziko zinasomba marudio ya dhahabu, mawe mchanga ni hovyo kabisa madaraja yanavunjika barabara zinavurugwa, kuna barabara ya katoro nyarugusu kahama hazifai madaraja yote kwisha, kahama nyandolwa sorwa shinyanga zote kwisha, ni muda sasa tarura wapige marufuku haya malori mwisho fuso kusoma mchanga mawe kokoto marudio ya dhahabu