Shule hizi kwa Dar zina hali mbaya sana, kama una mtoto au ndugu anza mipango ya kumuhamisha, heri aende mkoani

Shule hizi kwa Dar zina hali mbaya sana, kama una mtoto au ndugu anza mipango ya kumuhamisha, heri aende mkoani

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
1737660115280.png


1737660144684.png


1737660177965.png


1737660196338.png


1737660218329.png


1737660249491.png


1737660268560.png
'

1737660298525.png


1737660323164.png


1737660348921.png


1737660374571.png


1737660403540.png


1737660429285.png


1737660450244.png


1737660819206.png


1737660846531.png


1737660868046.png


1737660889042.png


1737660912125.png



1737660934245.png


1737660977147.png


1737660997864.png



1737661020655.png
 
Hii Kimanga imeanza miaka ya karibuni tu. Form four ya kwanza walifanya vizuri sana, ila wanakoelekea kunakatisha tamaa...
 
Hatari sana, hiyo Kipunguni imeanza juzi tu kama sikosei hao wahitimu ndio uzao wao wa kwanza
 
Sasa shule ina darasa la watoto katibu 600! Serikali isipo ipa uangalizi maalumu na feva ni vipi watafaulu.
Heri hata wamejaliwa kunaliza kidato cha nne
 
Dah form four nilikuwa kilaza ila sio wa kupata 0 😂
Mkuu kama kiongozi mkubwa anapewa airtime kwenye media kuponda wasomi kisa yeye ana pesa mingi tutarajie nini? Ukikemea unashambuliwa kila kona kuwa una chuki binafsi kwa std seven wenye hela. Waalimu wamekuwa wakifedheheshwa hata na waokota makopo.
 
Sasa tushike lipi tuache lipi mshika dau mbona mnatuchanganya???

Humu tunaambiwa kusomesha mtoto ada mill 2 bora umpeleke huko changanyikeni akachanganyikiwe kwa sababu mwisho wa siku wote watajua kusoma na hiyo hela twende tukale beers wewe tena unasema tusiwapeleke!unataka wa kwenu tu ndiyo wasome?
 
Back
Top Bottom