Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Akili yenu?Mshukuruni Mkapa (mkristo) kwa kuwazawadia yale majengo maana akili yenu uwezo wake ni kujenga madrasa kisha mnajidanganya mnaita eti vyuo
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
NENDA KALALE WEWE DOGO.Wanasoma Ilimu Akhera
Wewe unajua kiswahili wala kiingereza?Nilipo kutana na watu Wame Soma hapa hapa Tanzania na hawajuh kusoma kiswahil wala kingereza badala ya kiarabu ndio nilicho ka Sana
Kama wewe kweli umesoma na una akili kuliko muslims wote tanzania.Uliona wapi wanaume wavaa vipendo na wanawake wavaa madera wakaingia 10 bora mzee baba??? Labda kumi bora ya kupiga dufu na kubugia pilau la mialiko ya 40
Maswali ya kiswalusuna hayana nafasi hapa. Lubalini mmepigwa bao matokeo hayo hapoKama wewe kweli umesoma na una akili kuliko muslims wote tanzania.
Basi sema ndio ili nikuthibitishie kwamba wewe huna akili.
Pia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!
Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.
"Lubalini" seriously?Maswali ya kiswalusuna hayana nafasi hapa. Lubalini mmepigwa bao matokeo hayo hapo
Ngoja kwanza wewe ni mmarekani au mtanganyika?Ok nitakujibu,Saudia inategemea almost kila kitu kwa mzungu kwa 90%
...Uchimbaji mafuta kuanzia tech. na ulinzi ni US.
...Saudia hawana tech.yao wala viwanda kamili...ni black market kwa wazungu kudamp reject products.
...Ujenzi wa majengo 70% yamejengwa na yanamilikiwa na wazungu ama kwa shareholding au umiliki kamili,kuna usemi kuwa Saudia ni ardhi ya US.
...ulinzi wa viongozi wa Saudia(falme za kiarabu) unatoka USA.
...Kwa ufupi Saudia ni koloni la kisasa la marekani kiuchumi.
NDIO MAANA SAUDIA HAIKO KWENYE G8 OR G12 MAANA INAMILIKIWA NA ''WATHUNGU''
SAHII kabisa, ndo maana hata list ya matajiri waislam wanakimbiza[emoji4]shule nyiingi sana za kiislam ambazo ziko na hali nzuri basi wengi wanaosoma huko ni waarabu na wahindi pamoja na bohora ambao kwa kiasi kikubwa hawatumii mitaala hii na target yao kubwa sio watoto kufaulu bali watoto kuwa na uelewa waje kusimamia biashara au kujiajiri na kama kusoma hapa basi ni basic education na elimu ya juu ni nje ya nchi...
Waislam ndo matajiri wanaoongoza list ya Tanzania[emoji4]Elimu sio mkombozi wewe tafuta hela...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sheikh ninyongwe kwa kosa gani sasa! Ni mtazamo wangu tu. By the way, haitakuwa dhambi iwapo Zanzibar itajitegemea katika masuala yote ya kielimu. Mbona kuna mambo mengine inajitegemea?Kadiri ya sheria ya china ilibidi unyongwe mpaka kufa “separatist”
sijui sheria zetu zinasemaje lakin maudhui yako s mazuri kwa nchi kujaribu kuvunja muungano
Wewe na nani ambao mnaandaa makao mapya sayari nyingine?Hawanaga ata akili ya uchambuzi na wala hawajui wenye ku-run dunia ni akina nani.
Acha tu waendelee kujilipua na mabomu wakati sisi tunaandaa makao mapya sayari nyingine,tuone km watatufuata uko
Anzisha uzi wako. Huu wa matokeo hayo hapo juu na swali ni kwanini wajaidina mmeangukia pua???! Jibu langu madrasa inachelewesha kufundisha vijana wenu jinsi ya kufuga majini mazuri na hadithi za mtume kukabwa na tende. Elimikeni dunia haiendi huko!"Lubalini" seriously?
Yaani huwezi hata kuandika lakini bado unajisifia namna hii.
Fine, I'm gonna ask you the same question ambalo kilaza mwenzako amelikimbia.
Can you tell me why almost 100% of scientists and invention bearers were and are atheists?
Jibu hilo swali kama kweli wewe ulifika hata la tatu, ukikimbia kama yule mwenzako basi hiyo ni evidence tosha kwamba wewe ni kilaza wa kupuuzwa.
Acha kurukakuruka kama mtoto wa kike anayetolewa bikra.Anzisha uzi wako. Huu wa matokeo hayo hapo juu na swali ni kwanini wajaidina mmeangukia pua???! Jibu langu madrasa inachelewesha kufundisha vijana wenu jinsi ya kufuga majini mazuri na hadithi za mtume kukabwa na tende. Elimikeni dunia haiendi huko!
Sija kutukana bali nimeongea uhalisia wako.Ni kawaida yenu kuwa na jazba na matusi,usije tu ukajifunga mabom.
Tunaabudu Mungu wa kweli sio ukristo wala mzungu. Ukristo ni njia tu iliyo sahihi kumfikia Mungu...wengine ni wafuga majini na mashetani.
Wazungu ata wawe freemason au waislam hainiondoi kwa Mungu wa kweli...maana sitazami watu na misimamo yao ya upotevu,namtazama Mungu.
Jibu wewe suruali fupi zinawasaidiaje vijana wenu kufaulu? Sio unakimbiakimbia mada kama shoga la kipemba limeombwAcha kurukakuruka kama mtoto wa kike anayetolewa bikra.
Jibu hili swali: Can you tell me why almost 100% of scientists and invention bearers were and are atheists?
Jibu hilo swali wewe punda mwenye sifa, au sema tu kwamba mimi sina akili na siwezi kujibu hilo swali hivyo nisamehe kwa kukupotezea muda Mkuu Teenager.
Kwa kiswali hichi kidogo na wote mmeshindwa kujibu inaonesha jinsi gani wengu wenu mlivyo wajinga ndio maana mnaandika ujinga tu sababu misifa na dharau fake ni tabia yenu.
Wewe kajamaa ni mjinga sana yaani wewe unatukana watu kwamba wao wanafanya ngono hovyo na kinyume na maumbile kama sunna.Ni kawaida yenu kuwa na jazba na matusi,usije tu ukajifunga mabom.
Tunaabudu Mungu wa kweli sio ukristo wala mzungu. Ukristo ni njia tu iliyo sahihi kumfikia Mungu...wengine ni wafuga majini na mashetani.
Wazungu ata wawe freemason au waislam hainiondoi kwa Mungu wa kweli...maana sitazami watu na misimamo yao ya upotevu,namtazama Mungu.
Nawapa pole watoto wako kwa kuwa na baba kilaza.Mkuu achana kubishana na hawa wavaa kobazi, hawa viumbe ni watukutu na watu wa majungu sana tunawafahamu vizuri kabisa huku makazini.
Kwa muandiko huu ni wazi kwamba wewe ni mjinga tu asiyejitambua.Jibu wewe suruali fupi zinawasaidiaje vijana wenu kufaulu? Sio unakimbiakimbia mada kama shoga la kipemba limeombw