Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Ha ha haaaaa....
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mengi humu yamesoma kayumba ila ni machambuzi mazuri ya shule bora TZ.
 
Elimu iondolewe kwenye mambo ya muungano
 
Hahahaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We jamaa hivi leo ukimbiwa uchague kati ya Ndugai na Asaad utakaa upande upi?
 
Mkuu hivi unataka kuniambia Ndugai na Asaad nani kichwa?
Umetumia vigezo gani kuwalinganisha hao wawili, na mimi nikikuambia kati ya Marehemu Mkapa na ali Hassan Mwinyi nani alikuwa na uwezo mkubwa katika uongozi? Jibu ni Mkapa..

Nikirudi kwako tukiamua kufanya sampling ya watu 100 utakutana na muislamu mwerevu 1 wengine wote waliobaki ni kawaida kabisa.
 
Halafu 99 ni wakristo? Nyie wasomi lisaidieni taifa liendelee basi!
 
Siyo kweli Mkuu,mbona matokeo yapo wazi tu.Nenda kwa shule moja moja ujionee Idadi ya Wanafunzi kwa hizo Shule. Karibu zote zina wanafunzi zaid ya 50,why udanganye wakati kila kitu kipo wazi tena kwa website ya NECTA 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…