[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!
Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.
Labda kwa elimu ya nchi nyingine na sio ya Tz dada.Umuhimu wa elimu haupo kwenye kupata ajira peke yake. Kuna tofauti kubwa kati ya aliyeenda shule na ambae hajaenda.
Mhhh ina maana huyu Makamo wako wa Raisi wa awamu ya nne, ule utalamu wa Maswala ya nuklea aliusomea Tanzania? Bila Nyerere kubinafsisha shule za Serikali sizani kama tungekuwa na kina Lipumba.Tatizo la waislam kunyimwa haki nchi hii lilianza awamu ya kwanza,
Scholarship zote walipewa kina jose unategemea nn waache wahifadhi juzuu 30.
St. Francis wako 90 na wote wana Div. 1Hiyo list yako haina uhalisia kwa kuwa, kwa record zangu karibia nusu ya shule hapo juu zina wanafunzi kati ya 7 na 25 kwa darasa. Hivi utawezaje kushindanisha shule yenye wanafunzi 145 kwa darasa na shule yenye wanafunzi 9?
Na ukute hiyo yenye 9 walianza 35 wengine wote wakarudishwa ili mwishoni ionekane wamefaulu wote
Nilipenda pia kupata list ya shule kumi bora zenye wanafunzi angau zaidi 45 ambao ndio wastani wa darasa moja (hapo sijaongelea shule nyingi tu zenye angalau mikondo 3 ( A, B, C na kuendelea)
Nakushauri ufute hiyo list yako kwani haina maana yoyote labda kwa wale makanjanja!
Cc Mohamed SaidItakuwa kuna hujuma kitu sio bure? Ndiyo maana taifa linazidi kuwa nyuma Kula kukicha.
Kwa hiyo afadhali kufeli tu si ndiyo!?Mnafaulu Sana halafu mtaani hamna ajira huo si ujinga huo
Mfano Kikwete na Dr Slaa na kichwa?Umetumia vigezo gani kuwalinganisha hao wawili, na mimi nikikuambia kati ya Marehemu Mkapa na ali Hassan Mwinyi nani alikuwa na uwezo mkubwa katika uongozi? Jibu ni Mkapa..
Nikirudi kwako tukiamua kufanya sampling ya watu 100 utakutana na muislamu mwerevu 1 wengine wote waliobaki ni kawaida kabisa.
Kwa hiyo afadhali kufeli tu si ndiyo!?Mnafaulu Sana halafu mtaani hamna ajira huo si ujinga huo
Sidhani kama wewe ni Mkristo. Hili jibu lako hata mpagani hawezi kutoa jibu kama hiliKula na kuliwa jicho kunaondoa sana akili,Pwani na muslim communities zinaongoza sana kwa tabia hizi
Ww ni kilaza kweli yaani unalingisha na mendeleo ya watu na dini ?Ata uko duniani nchi nyingi zilizoendelea/dunia ya kwanza ni za wakristo.
Ata Saud Arabia wanayojivunia imejengwa na inajengwa na wakristo.
Kuna haja ya kufanya tafiti juu ya utamaduni wa kiislam na mchango wao kwa dunia...je una hasara zaidi ya faida?
Slaaah Kichwa haswa huwezi mfananisha na msoga hata mwenyewe analijua hiloMfano Kikwete na Dr Slaa na kichwa?
😂😂😂😂😂😂😂Nimesoma naye.
Hao uliowataja ni kati ya wangapi dhidi ya uwiano wa wakristo kiufupi mnajiona kila kitu mnastahili akiwa raisi muislamu mnamfuatilia sana teuzi zake mpaka mnasema anapendelea ila akiwa mkristo waislamu hawana habari wapo bize na mashindano ya qur an,Mhhh ina maana huyu Makamo wako wa Raisi wa awamu ya nne, ule utalamu wa Maswala ya nuklea aliusomea Tanzania? Bila Nyerere kubinafsisha shule za Serikali sizani kama tungekuwa na kina Lipumba.
Tatizo ndugu zangu mnapenda kulalamika huku mkisahau kuwekeza kwenye elimu, Nyerere alizibinafsisha shule nyingi za Kikristo (Pugu,Kigonsera,Tosa ,Ndanda nk) waikristo hawa kulalamika wakaja na mipango wakachangishana, then wakajenga shule zao nyingine ambazo leo hii zinafanya vizuri.
Nyie wenyewe mnatusema "mnapigwa sana kwenye michango.......",ila hizo shule ndio michango ya wakristo na ndio maana kama umewafuatilia Roma au KKKT kama wakitafuta eneo la kujenga kanisa jipya huwaga wanachukua ekari za kutosha, sasa njoo baada ya miaka 10,utaona kuna kanisa,primary, secondary, chuo cha ufundi, kumbi za sherehe ,nursery na hospital nk. Sasa nyinyi ndugu zangu utamaduni huo hamna, kwenye michango wavivu mnaona kama shekhe anafaidi na familia yake.
Yule kiongozi ktk nchi ya demokrasia kuongea wataongea sometimes wataongea yakweli na sometimes ya kipuuzi,Magu mlisema Sukuma Gang, Kikwete wakasema kajaza waislam NSSF,Mkapa mkasema nchi inaongozwa na wakristo nk na huwezi kuwazuia watu kuongea.Hivi inamaana hapo Pugu, Ndanda, Kigonsera, Tosa nk walisoma wakristu peke yao baada ya Nyerere kutaifisha?Hao uliowataja ni kati ya wangapi dhidi ya uwiano wa wakristo kiufupi mnajiona kila kitu mnastahili akiwa raisi muislamu mnamfuatilia sana teuzi zake mpaka mnasema anapendelea ila akiwa mkristo waislamu hawana habari wapo bize na mashindano ya qur an,
Nasikia kabla mzee wa msioga hajaingia madarakani mlikuwa mnapata mgao moja kwa moja kutoka serikalini halafu ndo mnataka tushindane na nyinyi.
Unamaanisha waislam wengi wana hali duni kiuchumi?Watoto wengi wa Kiislam wanasoma kwenye shule za St Kayumba kama ilivyo kwa watoto wengi wa kitanzania kutoka familia duni....
Nenda maeneo ya uswazi kisha chunguza jamii ya watu wengi maeneo hayo ni jamii ya watu gani...nadhani jibu unalo.Unamaanisha waislam wengi wana hali duni kiuchumi?