Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Pia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!

Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umuhimu wa elimu haupo kwenye kupata ajira peke yake. Kuna tofauti kubwa kati ya aliyeenda shule na ambae hajaenda.
Labda kwa elimu ya nchi nyingine na sio ya Tz dada.
Kwakweli dada yangu kwa msoto wanao upitia vijana walio hitimu sioni faida ya elimu ya Tz ,alafu ukizingati muda na pesa walizo tumia kuitafuta hiyo elimu.
Kiufupi elimu yetu imesha pitwa na wakati.
 
Tatizo la waislam kunyimwa haki nchi hii lilianza awamu ya kwanza,

Scholarship zote walipewa kina jose unategemea nn waache wahifadhi juzuu 30.
Mhhh ina maana huyu Makamo wako wa Raisi wa awamu ya nne, ule utalamu wa Maswala ya nuklea aliusomea Tanzania? Bila Nyerere kubinafsisha shule za Serikali sizani kama tungekuwa na kina Lipumba.

Tatizo ndugu zangu mnapenda kulalamika huku mkisahau kuwekeza kwenye elimu, Nyerere alizibinafsisha shule nyingi za Kikristo (Pugu,Kigonsera,Tosa ,Ndanda nk) waikristo hawa kulalamika wakaja na mipango wakachangishana, then wakajenga shule zao nyingine ambazo leo hii zinafanya vizuri.

Nyie wenyewe mnatusema "mnapigwa sana kwenye michango.......",ila hizo shule ndio michango ya wakristo na ndio maana kama umewafuatilia Roma au KKKT kama wakitafuta eneo la kujenga kanisa jipya huwaga wanachukua ekari za kutosha, sasa njoo baada ya miaka 10,utaona kuna kanisa,primary, secondary, chuo cha ufundi, kumbi za sherehe ,nursery na hospital nk. Sasa nyinyi ndugu zangu utamaduni huo hamna, kwenye michango wavivu mnaona kama shekhe anafaidi na familia yake.
 
Hiyo list yako haina uhalisia kwa kuwa, kwa record zangu karibia nusu ya shule hapo juu zina wanafunzi kati ya 7 na 25 kwa darasa. Hivi utawezaje kushindanisha shule yenye wanafunzi 145 kwa darasa na shule yenye wanafunzi 9?
Na ukute hiyo yenye 9 walianza 35 wengine wote wakarudishwa ili mwishoni ionekane wamefaulu wote
Nilipenda pia kupata list ya shule kumi bora zenye wanafunzi angau zaidi 45 ambao ndio wastani wa darasa moja (hapo sijaongelea shule nyingi tu zenye angalau mikondo 3 ( A, B, C na kuendelea)
Nakushauri ufute hiyo list yako kwani haina maana yoyote labda kwa wale makanjanja!
St. Francis wako 90 na wote wana Div. 1
St. Mary's Ulete wako 90 na wote wana Div. 1
Raise another excuse, this one has hopelessly failed.
 
Umetumia vigezo gani kuwalinganisha hao wawili, na mimi nikikuambia kati ya Marehemu Mkapa na ali Hassan Mwinyi nani alikuwa na uwezo mkubwa katika uongozi? Jibu ni Mkapa..

Nikirudi kwako tukiamua kufanya sampling ya watu 100 utakutana na muislamu mwerevu 1 wengine wote waliobaki ni kawaida kabisa.
Mfano Kikwete na Dr Slaa na kichwa?
 
Ata uko duniani nchi nyingi zilizoendelea/dunia ya kwanza ni za wakristo.

Ata Saud Arabia wanayojivunia imejengwa na inajengwa na wakristo.

Kuna haja ya kufanya tafiti juu ya utamaduni wa kiislam na mchango wao kwa dunia...je una hasara zaidi ya faida?
Ww ni kilaza kweli yaani unalingisha na mendeleo ya watu na dini ?

Kama Ukristo ndio ulio wafanya waendelee , mbona huo Ukristo hauja zifanya Uganda, Congo,Burundi,malawi,zambia,S.sudani,
Zimbabwe, ambao raia wake na zaidi ya asilimia 90 ni wakristo ziendelee?

Na kama uislam ni adui wa maendeleo mbona haujazizuia Uturuki,Qtaar,Malasia, Indonesia,Iran,Oman,Brunei Dubai ambazo asilia 98 ni waislam kuendelea?

Watu wanakesha kuumiza vicha kwa ajili ya kuendeleza nchi zao alafu ww unaleta upuuzi wa dini hapa.
 
ukisoma mjadala na comment za watu utagundua kwanini Tanzania bado masikini, na utagundua kumbe hakuna haja yakuilaumu CCM.

watu wale wale wanaoishutuma CCM na mfumo duni wa elimu ndio watu walewale leo hii wanawatukana waislamu na kuwaona ni jamii pumbavu ambayo yenyewe ndio chanzo cha matatizo yao.... tukumbuke hawa waislam ni zaidi ya 40% ya population ya Tanzania... watu wale wale ndio wanashangilia watoto wao kupata Div one chini ya mfumo ule ule unaolalamikiwa...
 
tutambue pia tunapowatukana waislam ambao ni watanzania wenzetu na kuwatukuza christiana ambao ni watanzania wenzetu...tunakuwa wote tuko utumwani na kuendeleza ili slogan ya divide and rule...

Ni jukumu la kila Mtanzania kupaza sauti watanzania wote wapate equal education regardless dini zao... na hizi shule za kidini zisiwepo zibaki shule mali ya watanzania na dini zibaki kama imani tu....

Huko mbeleno waislamu nao watajifunza wataunda shule zao na kusoma kwenye shule matokeo yake Taifa lazima limeguke..
 
Mhhh ina maana huyu Makamo wako wa Raisi wa awamu ya nne, ule utalamu wa Maswala ya nuklea aliusomea Tanzania? Bila Nyerere kubinafsisha shule za Serikali sizani kama tungekuwa na kina Lipumba.

Tatizo ndugu zangu mnapenda kulalamika huku mkisahau kuwekeza kwenye elimu, Nyerere alizibinafsisha shule nyingi za Kikristo (Pugu,Kigonsera,Tosa ,Ndanda nk) waikristo hawa kulalamika wakaja na mipango wakachangishana, then wakajenga shule zao nyingine ambazo leo hii zinafanya vizuri.

Nyie wenyewe mnatusema "mnapigwa sana kwenye michango.......",ila hizo shule ndio michango ya wakristo na ndio maana kama umewafuatilia Roma au KKKT kama wakitafuta eneo la kujenga kanisa jipya huwaga wanachukua ekari za kutosha, sasa njoo baada ya miaka 10,utaona kuna kanisa,primary, secondary, chuo cha ufundi, kumbi za sherehe ,nursery na hospital nk. Sasa nyinyi ndugu zangu utamaduni huo hamna, kwenye michango wavivu mnaona kama shekhe anafaidi na familia yake.
Hao uliowataja ni kati ya wangapi dhidi ya uwiano wa wakristo kiufupi mnajiona kila kitu mnastahili akiwa raisi muislamu mnamfuatilia sana teuzi zake mpaka mnasema anapendelea ila akiwa mkristo waislamu hawana habari wapo bize na mashindano ya qur an,

Nasikia kabla mzee wa msioga hajaingia madarakani mlikuwa mnapata mgao moja kwa moja kutoka serikalini halafu ndo mnataka tushindane na nyinyi.
 
Hao uliowataja ni kati ya wangapi dhidi ya uwiano wa wakristo kiufupi mnajiona kila kitu mnastahili akiwa raisi muislamu mnamfuatilia sana teuzi zake mpaka mnasema anapendelea ila akiwa mkristo waislamu hawana habari wapo bize na mashindano ya qur an,

Nasikia kabla mzee wa msioga hajaingia madarakani mlikuwa mnapata mgao moja kwa moja kutoka serikalini halafu ndo mnataka tushindane na nyinyi.
Yule kiongozi ktk nchi ya demokrasia kuongea wataongea sometimes wataongea yakweli na sometimes ya kipuuzi,Magu mlisema Sukuma Gang, Kikwete wakasema kajaza waislam NSSF,Mkapa mkasema nchi inaongozwa na wakristo nk na huwezi kuwazuia watu kuongea.Hivi inamaana hapo Pugu, Ndanda, Kigonsera, Tosa nk walisoma wakristu peke yao baada ya Nyerere kutaifisha?

Acheni kulalamika nyie,kuweni na mipango na muaminiane kwenye michango yenu la sivyo mtaishia kulalamika. KKKT na Roma hawapoi leo wala kesho na Kila siku wanajenga shule na vyuo vya kutosha.
 
Nilipo kutana na watu Wame Soma hapa hapa Tanzania na hawajuh kusoma kiswahil wala kingereza badala ya kiarabu ndio nilicho ka Sana
 
Back
Top Bottom