Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
pambana,laki 3 kwa mwaka unakosa?au unapataka asome ist.hopac?Ni Kweli kabisa Mkuu sasa shida ni kuupiga mwingi mpaka upate chanse pale maana wahindi wote na baadhi ya raia wakigeni nao wanagombania pale
Acha sound weweOlimpio walimu wake hawalipwi kama walimu wa shule ya msingi mtakuja
mavurunza ni wapi? Nimependa idea yakoHapana anasoma Mavurunza
Nina mpango wa kumfundisha biashara elimu ya msingi inatosha akijua kusoma na kuandika.
🤣🤣🤣🤣🤣Ada 300,000 na mtu anataka mtoto aingie bila kulipa
Watanzania [emoji119][emoji119]
Kwani utaratibu ukoje.miaka mingine wanasomaga bure au huwa wanalipa? Wazazi tuwe tunafikiri vizuri.ukitaka shule za bila malipo mbona zipo.nyie mlienda kutafuta nini huko? Hizo shule zilijengwa kwa ajili ya foregners wasiojua kiswahili.Ndiyo maana wanalipia.
mavurunza ni wapi? Nimependa idea yako
Wastani wa ufaulu wao, please.Std7 wanamaliza 400 hadi 500 sijui wana mikondo mingapi
Misa ya kipaimaraDarasa moja watoto 500? Inawezekana vipi? Ni darasa au misa hio?
ooh nishaisikia iko vzr.Shule ya kata Ya Kimara
Bunge hakuna ada ila kupata nafasi yake andaa kama 100-200k.Sema mikondo ila its not practical darasa moja wakae watoto 500, mkondo waweza kuwa A mpaka G labda!
Sema ukiona shule inagombewa hivyo ujue iko njema.Hata bunge primary pazuri sema sijajua ada zake
Hahahahahahah nafasi za mchongoBunge hakuna ada ila kupata nafasi yake andaa kama 100-200k.
Kuhonga sio laki 3 ni laki 6We umewahi kuona shule ngapi za serikali mtoto ili aanze la kwanza anafanya interview. Na hata akifaulu anaweza kukosa nafasi kwakua wazazi wengine hua wanahonga mpaka laki 3 ili watoto wao wapate nafasi hizo shule?
Miongoni mwa shule ambazo wazazi huhonga ili watoto wapate nafasi ni hii Olympio.
Kisha unashangaa mtoto kurudishwa kisa ada? Blood tupeleke watoto wetu tunapoweza kuafford. Shule ya Msingi Kizinga.
Laki nneMkuu ada ni bei gani kwa mwaka hapo?
Naona umeongeza kilemba hapo ila safi tu😅 sio swala!Laki nne
Naona umeongeza kilemba hapo ila safi tu😅 sio swala!
Naona umeongeza kilemba hapo ila safi tu😅 sio swala!
Mkuu ijumaa nimelipa laki nne crdb.Naona umeongeza kilemba hapo ila safi tu😅 sio swala!
Ahaa sio ishu basi mkuu bado reasonableMkuu ijumaa nimelipa laki nne crdb.
Kijana kaanza wamepandisha mwaka huu kutoka laki3
Daah nimesoma hapo Primary enzi za mkapaNa hapa mza wametuanzia ama wameamua kutufungulia shule moja Kama hizo za kwenu dar.ile nyanza primary imebadilishwa ni mtaala wa English..Ada ni laki sita mkuu
Imeniuma kuonyesha kuna viwango rasmi kabisa. Anyway mama mtoto aliombwa laki 3.Kuhonga sio laki 3 ni laki 6