Samahani kwa kusema hivi.kwenye maswali yako kuna jambo kuu hujalijibu.
hujakanusha wepo wa tuhuma za nilizozisema , badala yake umekimbilia kunishambulia , dawa ya hili swala ni uongozi wa shule kuweka walimu sahihi na kuzingatia maadili , nachelea kutoa taarifa nyingi maana itakua ni total destruction ya hii shule , najua vingi kuliko kawaida. Sitaki kusema zaidi maana italichafua sana kanisa kimalezi ya shule ile
Kijana wa hovyo 😂😂
Laana hawezi kuja bila matendoHii ishu mnaikuza sana mjue!!!
Mtasababisha laana KWA Taifa!
nenda katubu . uelewa wako uko limited sana .Samahani kwa kusema hivi.
Wewe ni mjinga mkuu
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Umeshindwa kuelewa maelezo, soma tenaMbona kubaki shule ni jambo la kawaida kwa madarasa ya mitihani ya kitaifa. Acha unafiki wewe
Pole sana mwalimu kwa kusitishiwa Ajira !!Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Si baada ya wewe kupeleka umbea wako ? Maana hujaeweleka hoja yako hasa ilikuwa ni ni baina ya usagaji na kubaki shule. Hapo hakuna lingine, bali ni wivu wa 50,000/= tu.Haya jamani , wazee wenzangu mliokua mnakuja kwa kutukana , msikilizeni vizuri waziri wa elimu , ameongea kwa ustaarabu sana kazi kwenu
Kama una mtoto wako kamchukue mtoto wako ukae naye nyumbani likizo. Usituchose tusiohusika..Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
*************NEW UPDATES WAZIRI WA ELIMU ATOA MSIMAMO JUU YA ZUIO LA LIKIZO
Tuliwaambia mkawa wabishi sasa endeleeni kuwazuia watoto kurudi likizo mtajuta kufungua hio shule , a polite notes , waachieni watoto waende likizo msiogope kusemwa kama kuna shida za kimaadili ni mambo yanayozungumzika
sasa kama hususiki umekuja kufanya nini hapa , with more than 2000 threads umekuja hapa obviously una interest na shule hio , relax and enjoy 😀Kama una mtoto wako kamchukue mtoto wako ukae naye nyumbani likizo. Usituchose tusiohusika..
Mt Mary Mazinde juu ipo Lushoto sio Same, ina walimu wa kiume, sio mmoja wala wawili ni wengi tuu, hizo nyingne ulizotaja Sijui, ila mzinde hata second master ni Me.Mary goleth mbeya, mt mary mazinde juu same, mt anne arusha, holy spirit ruvuma, stella maris Tanga,mary immaculate dodoma na zingine nyingi hizi shule zote ni shule ambazo zinaongozwa chini ya masista na walimu hapo ni wakike, kwanini nisinshangae kuona walimu wa kiume wakati shule nyingi za watawa wakike (masista) huwa ni sawa na wamonaki system zao zilivyo, halafu unasema aliyekuambia kuwa walimu wa kiume hawaruhusiwi kufundisha shule hizo ni nani hivi wewe kichwani upo sawa kweli lete shule tano za watawa wakike zenye walimu wakiume mbona unakuwa mpumbavu
Kumeanza mtindo wa walimu wanaofukuzwa mashuleni huko kuwahadaa wazazi kuwa shule haina walimu mara ooh shule vile shule hivi...Mimi naijua huruma girls na mara nyingi nasali Jimboni hapo...hizi tuhuma kama ni za kweli nitajua maana nina rafiki yangu ana mtt wa kidato cha nne hapo..kama kama kuna ishu ya kubaki shule ni makubaliano ya wazazi wote..Mtoa mada hujasema una maslahi gani na hiyo shule, ili tuweze kufanya tathmini ya hizi shutuma zako.
Je, wewe ni mzazi mwenye mwanafunzi wa kidato cha nne, aliyezuiliwa na hiyo shule kurudi nyumbani?
Je, una uhakika shule inatumia ubabe, au imekubaliana na wazazi wenzako wenye watoto wa kidato cha nne!
Au wewe ni mmoja ya walimu waliotimuliwa kwenye hiyo shule, na sasa umeamua kuja kuisagia kunguni? Maana haileti mantiki shule kama Huruma Girls ikose walimu mahiri wa kuchukua nafasi ya hao wachache waliofukuzwa!
By the way, hiyo shule inafanya vizuri sana kwenye mitihani ya Kitaifa. Hivyo nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hizi shutuma zako zote! Pamoja na hizo za usagaji.
Wewe umesoma hapo?Mt Mary Mazinde juu ipo Lushoto sio Same, ina walimu wa kiume, sio mmoja wala wawili ni wengi tuu, hizo nyingne ulizotaja Sijui, ila mzinde hata second master ni Me.View attachment 2643351Pia kuna Kifungiro girls, St Catherine, Kongei, Now Usambara zote ni za masista zipo lushoto na zina walimu wa kiume, tena nyingine hata mkuu ni Me, kuna St wilbada, don bosco, kwa ufupi mimi ndio nilikua sijui kumbe kuna shule za masista zisizoruhusu Walimu wa kiume.
Napenda sana mtu anapotaka kufifisha maada atumie akili kidogo ,lakini kwa uelewa wa namna hii yako , ungesoma seminari wewe usingetoboa hata seminar kuu.Kumeanza mtindo wa walimu wanaofukuzwa mashuleni huko kuwahadaa wazazi kuwa shule haina walimu mara ooh shule vile shule hivi...Mimi naijua huruma girls na mara nyingi nasali Jimboni hapo...hizi tuhuma kama ni za kweli nitajua maana nina rafiki yangu ana mtt wa kidato cha nne hapo..kama kama kuna ishu ya kubaki shule ni makubaliano ya wazazi wote..
Hapo mwishoni hyo aibu haijanipata hilo la kwanza..Napenda sana mtu anapotaka kufifisha maada atumie akili kidogo ,lakini kwa uelewa wa namna hii yako , ungesoma seminari wewe usingetoboa hata seminar kuu.
Jifunze kukemea bila ushabiki, mimi ni mzee wa litania ya mama bikira maria , na mzee wa mt anthonio wa padua , lakini siwez kufumbia macho ujinga uendelee kwenye shule pendwa tena ya kikatoliki.
Unajua shule za kikatoliki zilivyonyooka ? huu ujinga unaoanza kuota Huruma pale wewe unadhani unatetea kanisa kumbe unaua brand ya shule. Hata yesu aliwatandika mafarisayo waliokua wanageuza sinagogi kuwa nyumba ya biashara .
Ntawatandika Huruma kama wataendelea na kuzorotesha elimu shuleni pale na kufumbia macho mmomonyoko wa maadili .
Wewe geuza hii maada iwe issue ya kanisa badala ya shule , unajua kabisa hata kama wewe ni mwajiriwa wa sasa hapo , nimeongea ukweli na hakuna chembe ya uongo kwa nini unabisha? utaenda kutubu wapi dhambi hizi?
vua joho la kikanisa na wasaidie watoto walioko pale .
Nikuulize tena , katika umri wako hujawahi kusikia makaasisi wamelawiti na kunajisi watoto wadogo? hujawahi kusikia mpaka papa anaomba msamaha ?
kwa nini sisi watanzania tunaona ni fahari sana kuficha maovu kwa mgongo wa kanisa au dhehebu?
siku mtoto wako akinajisiwa na kaasisi utanyamaza?
shame on you