Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Lete hiyo text hapa niliyoichafua shule nikisema nina uthibitisho na ninachokiongea. Ndo mana ninakuambia wewe hujawahi kuwa mwalimu na sidhani hata kama ulishawahi kwenda shule umeenda kusoma lakini kutaka kuonyesha kwamba wewe ni tahira BADO unaendelea kusema nachafua shule, narudia tena baba na mama Wana hasara kipindi umezaliwa wangebadilishana na mtu wakuwapa mapapai wangeongeza vitamini mwilini
Ngoja nikuache upumzike, usije ukashindwa kumhudumia mumeo leo sababu ya stress. Bye!
 
Hahaha! Pole dada. Umeandika mwenyewe kuwa hayo mambo yapo halafu unajifanya kucover up kuwa hakuna ushahidi. Ulikuwa na sababu gani ya kuandika hivyo? Kaiombe shule msamaha haraka.
Pole iso charting zilikuwa za siku MOJA unacheka ILA najua unavyoumia baada ya kuukutia uzi katikati na ukijawa mihemko pole sana nimekugonga nyuma na mbele na huna ushahidi ila ninao ushahidi itoshe tu kusema pole
 
Leo utahadhia wenzako huko nimehaibika vbaya kujiona mjanja kumbe ni tahira. Mpe pole mama YAKO mzazi KWA kuzaa tahira najua inachoma ILA vumilia
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Shule za kata zenyewe tumekubaliana watoto wetu kidato cha nne waendelee na masomo. Na tunachanga elfu 20 kila mmoja
 
Ukinizushia uongo wa kuchafua shule halafu uje DM sijibu wapumbavu huko ni kujipendekeza itoshe kusema tu uache shobo tafuta wapumbavu wenzako
Huko nimekuambia yaishe. Sijafuta kuwa umeituhumu shule bila ushahidi. Umeidhalilisha na umedhalilisha kanisa kuwa wote hawajui kulea. Itabaki kuwa hivyo. Na hii ni comment yangu ya mwisho kwako. Kwaheri.
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Mkuu hili suala la watoto kuzuiwa shuleni lipo kila mahali. Hapa nilipo kuna shule moja ya msingi inayomilikiwa na serikali ambayo uongozi wa shule umewazuia wanafunzi wa drs 7 na 6 kufunga shule. Wanafunzi hao wamelazimishwa kuendelea na masomo huku wazazi wakitakiwa kuchangia ada ya masomo ya ziada.

Tatizo hili nimeripoti Wizara ya Elimu kupitia akaunti za twitter na instagram lakini hadi sasa wamekaa kimya bila kutoa tamko lolote. Nchi hii ni ya kipuuzi sana aisee!
1684674285597.png
 
Huko nimekuambia yaishe. Sijafuta kuwa umeituhumu shule bila ushahidi. Umeidhalilisha na umedhalilisha kanisa kuwa wote hawajui kulea. Itabaki kuwa hivyo. Na hii ni comment yangu ya mwisho kwako. Kwaheri.
Ndo nimekuambia punguza shobo, nimekugonga kotokote leo ulitegemea kunifata PM ningekujibu sijibu wapumbavu na matahira kama wewe unayeshindwa kusoma, pumzika nadhani dozi uliyopata inakutosha ukitaka kunywa sumu
 
Shule za kata zenyewe tumekubaliana watoto wetu kidato cha nne waendelee na masomo. Na tunachanga elfu 20 kila mmoja
Wewe unakiuka maagizo ya serikali inayokataza michango ya aina yoyote kwenye shule za umma. Acheni kuendekeza ujinga.
1684674659558.png
 
Bila shaka huna mtoto anayesoma shule za umma.
Michango ipo kuanzia awali hadi form six
Basi nchi hii ni ya kipumbavu sana. Wanakataa kupokea michango kwa mkono wa kulia, wanapokea kwa mkono wa kushoto. Wapuuzi wakubwa!
 
Kiongozi naheshimu sana mawazo yako, infact nimegundua kitu kimoja kwamba upo concerned sana na brand ya kanisa kuharibika kuliko watoto wale kuharibika.
Kwa taarifa yako kama hujui basi unafichwa ni kuwa , kulikua na mkuu wa shule sister walimfukuza baada ya tetesi za kimaadali kuibuka shuleni hapo.
Alipofukuzwa akaletwa mkuu wa shule wa kiume check bob mmoja ambaye hajui kazi na shule ikaanza kuporomoka kitaaluma.
Shule imeona inaporomoka kitaaluma inaanza kustress watoto wasipumzike wabaki kufanya tuition
Na kwa taarifa yako fee ya 50k kwa shule binafsi sio kubwa kwa kua wazaz wengi wanajiweza kwa hio ondoa suala la gharama kwenye hoja yako.
mambo ni mawili shule ilifukuza walimu akiwemo sister aliyekuwa mkuu wa shule kwa tetesi za kimaadili yaan usgaji kuanza kuenea shuleni hapo.
Shule ikaleta walimu wapya mapoyoyo hawajui vitu , watoto wanashuka kielimu
Hoja yako ni nini hapa mkuu?
Kufukuzwa kwa sister, kufukuzwa kwa walimu,suala la usagaji, kuajiliwa kwa walimu vijana, kuzuiwa wanafunzi kufunga shule ama?

Naona kama unajichanganya, kama ni usagaji, pindi wakirudi kutoka likizo kama unavyotaka je usagaji utakuwa umekwisha?

Je? Kama asingefukuzwa sister pamoja na walimu wengine usagaji usingetokea? Je huko kwenye tuition unakotaka waende utakuwa na control ya movement zao na vipi huko usagaji haupo mitaani?

Unaamini kwenye tuition kuliko Taaluma ya sasa hapo shuleni kwenu. Kwa nini usiwashauri na wazazi wenzio ili msomeshe watoto wenu kwa mfumo huria wa tuition ili wafanye mtihani kama private candidate?

Mtoto ni wako na wewe una uamzi wa mwisho juu ya hatima ya mwanao, kwa nini usimuchukue mwanao ili uende naye kule unaporidhika nako?

Maswali ni mengi.......

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
wanataka kuwapa ile twisheni nyingine hizi shule ya masista ni janga kwa watoto wetu, wawaache watoto waende likizo kwa wazazi wao
 
Wewe ni mjinga unachafua makusudi Huruma girls ili ufaidike nn?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Kanisa katoliki lipo strictly sana Kwa hayo mambo ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja wakibainika wahusika huwa wanachukuliwa hatua mara moja.
Uliza waliopita junior seminaries au major seminaries watakupa majibu.
Kanisa halina mchezo mchezo na issue ya maadili vinginevyo naona km umetumwa hv hya endelea kuwatumikia mabwana zako.
Mkuu usijipe uhakika hivyo na taasisi inayo simamiwa na binadamu.
Unamjua mtu maarufu sana ndani ya kanisa Katoliki Father (Priest) Marcial Maciel?
Alikuwa anawafanya nini watoto wadogo kwenye hizo shule za seminari za kanisa katoliki?
Kama haumjui tafadhali tafuta taarifa zake mtandaoni.

Tatizo hapo linakuwa siyo kanisa katoliki bali tabia binafsi za mtu mmoja mmoja ndani ya taasisi.
 
Hoja yako ni nini hapa mkuu?
Kufukuzwa kwa sister, kufukuzwa kwa walimu,suala la usagaji, kuajiliwa kwa walimu vijana, kuzuiwa wanafunzi kufunga shule ama?

Naona kama unajichanganya, kama ni usagaji, pindi wakirudi kutoka likizo kama unavyotaka je usagaji utakuwa umekwisha?

Je? Kama asingefukuzwa sister pamoja na walimu wengine usagaji usingetokea? Je huko kwenye tuition unakotaka waende utakuwa na control ya movement zao na vipi huko usagaji haupo mitaani?

Unaamini kwenye tuition kuliko Taaluma ya sasa hapo shuleni kwenu. Kwa nini usiwashauri na wazazi wenzio ili msomeshe watoto wenu kwa mfumo huria wa tuition ili wafanye mtihani kama private candidate?

Mtoto ni wako na wewe una uamzi wa mwisho juu ya hatima ya mwanao, kwa nini usimuchukue mwanao ili uende naye kule unaporidhika nako?

Maswali ni mengi.......

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
kwenye maswali yako kuna jambo kuu hujalijibu.
hujakanusha wepo wa tuhuma za nilizozisema , badala yake umekimbilia kunishambulia , dawa ya hili swala ni uongozi wa shule kuweka walimu sahihi na kuzingatia maadili , nachelea kutoa taarifa nyingi maana itakua ni total destruction ya hii shule , najua vingi kuliko kawaida. Sitaki kusema zaidi maana italichafua sana kanisa kimalezi ya shule ile
 
Back
Top Bottom