Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Hapo mwishoni hyo aibu haijanipata hilo la kwanza..

Nachosema wtt kubaki shule ni makubaliano ya wazazi na uongozi wa shule hasa kwa shule za private....

Kuhusu huo mmonyoko wa maadili siwezi uongela kwa sbb mimi siishi nao 24/7...

Kama unaoushahidi wanasagana peleka malalamiko kwa uongozi wa shule na kanisa ili tatizo litatuliwe kupitia bodi ya shule....

Mwisho mimi sio mwalimu maana sina wito hata chembe wa ualimu..

Kama umeona jambo hatarishi toa taarifa na sio kusemea humu bila kuchukua hatua..otherwise ni umbea kama umbea mwingine...
Mkuu ,kwa ethics zangu nimeficha zaid ya 90% ya ushahidi ili kulinda image ya kanisa , na ndio maana watoto wote wameachiwa leo pale shuleni , it was just the matter of time , jimbo kuu la Dodoma wameshapata ushahidi wangu amabao nisingeuweka hapa , kwa kua wameufanyia kazi na wamewaachia watoto wote sijaona haja ya kuwasumbua zaidi , nina ethics kuliko kawaida , in case wangepuuzia ningeweka kitu hapa ile shule ingefungwa na kufutiwa usajili , tubaki kuandika na kutooana mkuu ,u will be suprised
 
Mkuu ,kwa ethics zangu nimeficha zaid ya 90% ya ushahidi ili kulinda image ya kanisa , na ndio maana watoto wote wameachiwa leo pale shuleni , it was just the matter of time , jimbo kuu la Dodoma wameshapata ushahidi wangu amabao nisingeuweka hapa , kwa kua wameufanyia kazi na wamewaachia watoto wote sijaona haja ya kuwasumbua zaidi , nina ethics kuliko kawaida , in case wangepuuzia ningeweka kitu hapa ile shule ingefungwa na kufutiwa usajili , tubaki kuandika na kutooana mkuu ,u will be suprised
Aisee basi sawa...ndicho unatakiwa kufanya nilidhani una ushahidi then hujafanya lolote..kwa hilo nakuunga mkono..hata mm ningeona au ningekua na kithibitisho ningefanya jambo...
 
Aisee basi sawa...ndicho unatakiwa kufanya nilidhani una ushahidi then hujafanya lolote..kwa hilo nakuunga mkono..hata mm ningeona au ningekua na kithibitisho ningefanya jambo...
Kwa mtu mwenye akili timamu huwez kuja kutuhumu organization ya kanisa stable kama katoliki kijinga , unaweza kusomewa novena ukapotea hapa duniani, issue za dini sio za kuziingilia kichwa kichwa , i had what it takes kusema hayo mkuu.
Najua kanisa linanishukuru hasa jimbo la DODOMA , they exactly know how i have saved them from menace ya hatari na ajabu sana.
All is Good now
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .



===============UPDATES============================
Ninaushukuru Uongozi wa kanisa Katoliki jimbo kuu la DODOMA kwa kuingilia kati na kuruhusu wanafunzi wote warudi likizo ,Kanisa limeonyesha weledi mkubwa sana na nichukue nafasi hii kulipongeza kwa kuwa sikivu na kuchukua hatua stahiki kwa yote yaliyokua yanaelekea kuporomosha elimu pale shuleni
Nimeipenda shule iyo, ngoja nimpeleke mwanangu. Akimaliza darasa la Saba. Adi likizo wanafundisha Ili tu wanafunzi wafanye Vizuri duuuhhh!!!
 
Mt Mary Mazinde juu ipo Lushoto sio Same, ina walimu wa kiume, sio mmoja wala wawili ni wengi tuu, hizo nyingne ulizotaja Sijui, ila mzinde hata second master ni Me.View attachment 2643351Pia kuna Kifungiro girls, St Catherine, Kongei, Now Usambara zote ni za masista zipo lushoto na zina walimu wa kiume, tena nyingine hata mkuu ni Me, kuna St wilbada, don bosco, kwa ufupi mimi ndio nilikua sijui kumbe kuna shule za masista zisizoruhusu Walimu wa kiume.
Huyo mtu ni mwongo hakuna shule za kanisa haziajiri walimu wa jinsia fulani kwa sababu eti inamilikiwa au kuendeshwa na opposite sex.

Ni mambo ya uongo na ya kujitungia tu.
 
Back
Top Bottom