Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hesabu zote, ni nguzo kuu ya kujikwamua na umaskini. Bila hesabu si rahisi kutoka kwenye umaskini.Hesabu za KKS zinasaidiaje mtu ajikwamue na umaskini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hesabu zote, ni nguzo kuu ya kujikwamua na umaskini. Bila hesabu si rahisi kutoka kwenye umaskini.Hesabu za KKS zinasaidiaje mtu ajikwamue na umaskini?
Mkuu kama ni kweli....."Elimu ya sasa imeboreka na watu wanapata maarifa....." sasa zuio au katazo la kutumia hayo Maarifa liko wapi? Ni ukweli kwamba zamani hawakuomba ajira(na pengine walibembelezwa) lakini hilo haliwafanyi nyie wa siku hizi ambao mmekuwa ni wengi na shule/vyuo ni vingi mtake kuutumia mfumo huo uliotumika zamani. Tumieni Mfumo wa kisasa- Ajira ni Ushindani.Yan wazee wa zamani kujiona vyao ndio bora hamjambo
Elimu ya sasa imeboreka na watu wanapata maarifa sema tatizo ni ushindani uliopo kwenye ajira ndo unatesa vijana
Zamani hamkuwa na elimu bora ila mliajiriwa kwa sababu mlikuwa wachache na ndo mana mlikuwa hamuombi ajira,
Halafu kuhusu kujiajiri mitaji bado changamoto kwa tulio wengi, najua utakuja na u motivation speaker kuwa tuanze tulipo + bla bla ila bila mtaji wa pesa hatutaboa na ninyi wazee hamkutuwekea hata akiba ya 5M tuanzie maisha tunabaki kuwa saidia fundi
At least to show that you're competent enough.Mimi bado najiuliza niende shule au sio...lol... kwa sasa kila linalofundishwa shuleni lipo mkononi mwa mtu ,, so why go to school???
Naam Mkuu. Atoe mapendekezo au Ushauri nn kifanyike na kwa namna gani. Awe positive.Mleta mada solution yako ni nini?