jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wakikusikia unalo.Zenji wana waminya watoto visogo ili baraghashia ifiti vzr kichwani wa fanane na mabwana zao waarabu,sasa kichwa kilicho minywa kitatoa wapi akili,ndio mana hata masomo ya lugha na dini ya kiarabu wamepata fafafaa za kutosha kwa kuwa vichwa hamna akili.
Muulize mume wenu kama kashawaonaWaislamu wafanyaje watoke mkiani?
Ata uwezo wa mawazo yako huna , waislamu wanatokaje mkiani?
Mawazo yangu nikupe wewe kama nani usilazimishe kua na mume zaidi ya mmoja kijanaAta uwezo wa mawazo yako huna , waislamu wanatokaje mkiani?
Unajua kusoma?Udini utakupeleka wapi wewe..
Hukupaswa kuonesha hisia zako za chuki dhidi ya imani isiyo kuhusu.
Ukifanya yanayo kuhusu utaishi kwa amani.
Ni shule ngapi za kiislamu zimefanya vizuri....
Kuna shule ngapi za kiislamu na asilima ya kufanya vizuri au vibaya...?
Kuna shule ngapi za kikristo...na asilimia za kufanya vizuri au vibaya..?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
waislamu wanasoma humu , toa mchango wako utasaidiaMawazo yangu nikupe wewe kama nani usilazimishe kua na mume zaidi ya mmoja kijana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo musa hakuwa muislamu si ndiyo?ni wakiristo na wayahudi kaka...wakiristo injil ya nabii issa na wayahud taurat ya nabii mussa
Qur an inakujibu sio mmKwa hiyo musa hakuwa muislamu si ndiyo?
Utajiri wa majini.Pwani, Dar na Zanzibar ndio wanao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Uchumi wa nchi hii ungekuwa ICU kama sio marais na wafanyabishara kutoka mikoa ya Pwani
Kuanzia Mwinyi aliyefungua nchi iliyokuwa imekabwa na ujamaa wa Nyerere
Mkapa aliyefanya ubinafsishaji wa makampuni yaloyokuwa yanaitia hasara serikali na kuleta uwekezaji mkubwa nchini
Kikwete aliyezidi kuifungua nchi, kukuza uhuru uchumi na watanzania wengi kuwa na furaha
Samia ambaye hadi wapinzani wamekiri anaupiga mwingi
Usishau akina Bakhressa, Turky na top 50 yote ya matajiri wa Tanzania ni asili ya ukanda wa Pwani
Mnawacheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule wao wanafaulu kwenye maisha
Kwanini vitabu vibadilishwe badilishwe? Huyu mnyaazi wenu hana uhakika na maneno yake?Qur an inakujibu sio mm
قُولُوا آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
(AL - BAQARA - 136)
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa(Yesu), na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao(wote ni katika waislam), na sisi tumesilimu kwake.
Sasa unasema hao waliokuwa wanatumia torati walikuwa ni waislamu kwa hiyo musa alikuwa myahudi na muislamu?Qur an inakujibu sio mm
قُولُوا آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
(AL - BAQARA - 136)
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa(Yesu), na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao(wote ni katika waislam), na sisi tumesilimu kwake.
Forum imekuwa forum ya kifala sana! Unawashwa we mpuuziHii ni list ya shule zilizoshika mkia kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022.
Ukiangalia vizuri kuna kitu kiko very common😃
View attachment 2503295
List imetawaliwa na #TeamMnyaazi
Source: Malisa GJ instagram account
Naskitika sana na hii post. Hivi kweli unaeza fananisha kikwete,baresa,samia,mkapa,mwinyi na mwanae na hawa watoto wa mbagara,tabat,chanika,bagamoyo,kusini unguja na vijibweni ambao wenyewe miaka kumi tu wameshaweka vijiti vya kuzuia mimba?Pwani, Dar na Zanzibar ndio wanao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Uchumi wa nchi hii ungekuwa ICU kama sio marais na wafanyabishara kutoka mikoa ya Pwani
Kuanzia Mwinyi aliyefungua nchi iliyokuwa imekabwa na ujamaa wa Nyerere
Mkapa aliyefanya ubinafsishaji wa makampuni yaloyokuwa yanaitia hasara serikali na kuleta uwekezaji mkubwa nchini
Kikwete aliyezidi kuifungua nchi, kukuza uhuru uchumi na watanzania wengi kuwa na furaha
Samia ambaye hadi wapinzani wamekiri anaupiga mwingi
Usishau akina Bakhressa, Turky na top 50 yote ya matajiri wa Tanzania ni asili ya ukanda wa Pwani
Mnawacheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule wao wanafaulu kwenye maisha
Acha matusi wewe mjinga. Kama unakereka usicomment hapa. HujalazimishwaJamii
Forum imekuwa forum ya kifala sana! Unawashwa we mpuuzi
Huyo ana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Ni mjinga sanaNaskitika sana na hii post. Hivi kweli unaeza fananisha kikwete,baresa,samia,mkapa,mwinyi na mwanae na hawa watoto wa mbagara,tabat,chanika,bagamoyo,kusini unguja na vijibweni ambao wenyewe miaka kumi tu wameshaweka vijiti vya kuzuia mimba?
Yaani unawezaje kujisifia kwamba unaishi karibu na matajiri wakati kula yako tu ni ya shida?
Yaani ni sawa na mimi kama mtanzania nione ufahari mo dewij kuwa namba moja kwa utajiri Afrika mashariki na kati.
Ona ulivyokuwa mshamba na maandazi ...Endelea kushinda matoko wazi kama wamasai wenzio .. Uncivilized!!Makasiriko ya nini na ni wazi dini imechangia
N.K
- Unafundishwa jua linajitosa kwenye maji , ukikuta swali la solar system utajibuje?
- Unafundishwa stage za mtoto kwenye Koran kuna stage anakuwa mifupa tupu, ukikuta swali la embryology utajibuje?
- Unafundishwa Allah alipachika milima juu ya dunia , ukiulizwa formation of mountains utajibuje?
Huko mikoa ya Pwani kuna kila dini na wasio na dini,hakuna mkoa usio na mchanganyiko wa dini,yote ina mchanganyiko.Wameshika mkia lakini