Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] halaf nimefurahi umerudisha avatar ya zamani

Ndio hivyo tena, nilianza kurudisha avatar ili niweke sawa na penzi letu lililoyumba ila kbla sijakaa sawa ndio yametokea ya kutokea.
 
Ambe mkaruka! hilo litafanyika kwa umakini mkubwa 'poti'
 
Kwani Wewe ukienda Kuoga huwa unaoga na Mchupi kama siyo Mboksa wako? Hii misemo huwa na dhana pana ila bahati mbaya ikikutana na Watu wenye akili za Ki ' Emolo ' na ' Jolly Bebe ' ndiyo huwa inakuwa tatizo na haieleweki.
Mkuu wewe ukitembea kwa road matako unayaacha bafuni?
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Shem mwamhie Mzee sasa apunguze ukali.Pamoja kuwa yeye ni musoma tribe anaoa mkoa wenye ustaarabu mkubwa.Wakwe wataogopa kwenda Mara.
Hongera kumpata mume. Tulipiga ramli sana hatimaye umedondokewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…