Si busara kumruhusu mtoto aanze kujitegemea wakati hana chochote

Si busara kumruhusu mtoto aanze kujitegemea wakati hana chochote

Mtoto kwanzia akiwa mdogo mjenge ajue thamani ya pesa ,na jinsi ya kupata kipato na kukitunza , then kama una nia ya kuja kumpa mtaji au kumwacha ajitegemee itakua poa sna , usije ukampa mtaji au kumwacha ajitegemee mtoto ambae haujamfundisha vzuri.
Wewe muhudhuriaji mzuri katika vipindi vyangu,hongera😅
 
Baba yako ni mafia
Namshukuru kwa kitu alinijengea kwenye akili ya kwamba katika maisha nahitaji kutafuta mali yangu. Toka wakati huo sijawahi lilia shida mtu yoyote bila kujali hali ngumu niliyopitia, Najivunia leo kwa kila nilichonacho ni kwa juhudi zangu binafsi(labda na Mungu), sina haja ya kunyenyekea mtu yeyote bali kuheshimu kila mtu
 
Namshukuru kwa kitu alinijengea kwenye akili ya kwamba katika maisha nahitaji kutafuta mali yangu. Toka wakati huo sijawahi lilia shida mtu yoyote bila kujali hali ngumu niliyopitia, Najivunia leo kwa kila nilichonacho ni kwa juhudi zangu binafsi(labda na Mungu), sina haja ya kunyenyekea mtu yeyote bali kuheshimu kila mtu
Usingekuwa attention angekuathiri kisaikolojia huo mimi naita ni unyanyasaji
Namshukuru kwa kitu alinijengea kwenye akili ya kwamba katika maisha nahitaji kutafuta mali yangu. Toka wakati huo sijawahi lilia shida mtu yoyote bila kujali hali ngumu niliyopitia, Najivunia leo kwa kila nilichonacho ni kwa juhudi zangu binafsi(labda na Mungu), sina haja ya kunyenyekea mtu yeyote bali kuheshimu kila mtu
Sasa usi apply hiyo kitu kwa watoto wako eti kwa sababu wewe ilikutokea na ukasurvive
 
Kuna dhana imezoeleka na wazazi ambao vijana wao wamefikia umri wa kujitegemea kuwaruhu ama kuwataka waondoke nyumbani ili hali hawana chochote na inawezekana hata kazi hana inayoeleweka.

Hii hali ina athari nyingi sana kwa vijana wa jinsia zote ila kwa wakike ndio zaidi. Kijana kuhitimu chuo haimaanishi kwamba sasa anaweza kumudu kila kitu,bado anakuwa na changamoto za kutqfuta kibarua ili aweze kujikimu.

Kwa upande wangu mimi nitafanya hivi ,wanangu kutoka nyumbani itakuwa ni option,na anapotoka nilazoma nijue kwa uyakinifu anaenda wapi na kwanini? Akinipa hoja yakinifu na nikazikunali basi nitagharamia kila kitu,kodi ya nyumba miezi 6, pesa yakujikimu miezi 6( hata kama anamshahara) kama amepata kazi,!,nitam unulia kila kitu ambacho ni hitaji muhimu kwa kuanza maisha ikiwemo kitanda, na godoro na mengineyo.

Kama ameamua kufanya biashara basi nitampatia mtaji,na nitaifuatilia mpaka pale jitakapo ona imesimama,na katika kipindi hicho chote nitampatia mahitaji muhimu mpaka pale biashara itakapo shinda kipindi cha mpito.

Unamruhusu mtoto aondoke halafu mkononi hana kitu wala hana kitu cha maana, matokeo yake kama ni wa kike anashawishika kujiuza.

Hakikisha mtoto kasimama na unauhakika kasimama kikamilifu ndio umuache.
Watu watu hata nauli tulinyimwa town tumeingia kwa fuso la viazi tukapokelewa na farasi mweupe tukajikuta getto la masela

Tuka Toka kwa kudra za mwenyezi Kama hatuna ndugu

Tumeingia kitaa tukafanya tuka jurikana tulipo jurikana waka tutafta walipo tutafta hatukuwa tupa tuko nao pamoja

Kwani tunajua ilikuwa nimaisha tuu

Vipi nyie watoto wakishua😄😄😄
 
Watu watu hata nauli tulinyimwa town tumeingia kwa fuso la viazi tukapokelewa na farasi mweupe tukajikuta getto la masela

Tuka Toka kwa kudra za mwenyezi Kama hatuna ndugu

Tumeingia kitaa tukafanya tuka jurikana tulipo jurikana waka tutafta walipo tutafta hatukuwa tupa tuko nao pamoja

Kwani tunajua ilikuwa nimaisha tuu

Vipi nyie watoto wakishua😄😄😄
Usiwafanyie wanao sasa😅😅😅
 
Usingekuwa attention angekuathiri kisaikolojia huo mimi naita ni unyanyasaji.
Well, ila kukosa attention tu tayari ni tatizo la kisaikolojia.
Sasa usi apply hiyo kitu kwa watoto wako eti kwa sababu wewe ilikutokea na ukasurvive
Yaah watoto wangu wataamua wanavyotaka ilimradi isiende kinyume na Taratibu ama sheria ama maadili.
 
Binadamu ni wakuja na kuondoka…kuna baba kumzika mtoto au mtoto kumzika baba…walee wanao wakijua ipo sku watakuwa pekee yao ktk huu mgongo wa dunia
 
Binadamu ni wakuja na kuondoka…kuna baba kumzika mtoto au mtoto kumzika baba…walee wanao wakijua ipo sku watakuwa pekee yao ktk huu mgongo wa dunia
Lakini sio kwakumfukuza ama kumuacha ahangaike mtaani ilihali unaweza kumuongoza mpaka akasimama
 
Unadekeza kijana wa miaka 25 kisa unamuonea huruma? Ikitokea haupo je?
 
Lakini sio kwakumfukuza ama kumuacha ahangaike mtaani ilihali unaweza kumuongoza mpaka akasimama
Hakuna mzazi anaependa mwanae ahangaike mtaani…ila wapo watoto wanaopenda kuwa boy street wakijiita masela
 
Wazazi wa aina hiyo ni wale nusu mtu nusu malaika. Sio hawa waliozaliwa wakati wa ukoloni ama baada.
 
Ni vijana wengi wamekutana na mauti wakiwa kwenye hizo harakati bubu za kujitegemea. Ilihali wazazi wao wako na wanamwaga ugali kila siku jalalani.

Pia yale mambo ya kujilinganisha wazazi wanayo sana. Anataka watoto wake wawe kama wa fulani maana wamesoma shule ya aina moja na wamemaliza chuo pamoja.

Ni shida.
 
Back
Top Bottom