mufti wa kaole
Member
- Jan 2, 2018
- 53
- 64
Labda hana majibu sahihi.Na mpaka sasa hajanijibu.
Anaamini Mungu yupo.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote, ujuzi wote, utukufu wote. Aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya mengi. Matetemeko ya ardhi. Magonjwa. Vita etc.
Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya?
Mungu huyu alishindwa kufanya watu waandike kitabu ambacho kitaeleweka bila utata kwa watu wote, muda wote?
Hajajibu maswali.
Amen.... Huyo ni ROHOMTAKATIFU amekufunulia siri hiiagano la kale kimsingi lilileta sheria na yakupasa kujua bila sheria hakuna dhambi. agano jipya limeleta uwokovu kwa njia ya NEEMA KATIKA YESU KRISTO. TORATI YOTE NA MANABII UKAMILISHO WAKE NI YESU KRISTO. AGANO LA KALE LILILETA SHERIA, LAKINI TUNAONA HAKUNA ALIYEWEZA KUOKOLEWA KWA MATENDO YA SHERIA MAANA WOTE WALITENDA DHAMBI NA KUVUNJA SHERIA. NAMNA PEKEE YA KUMKOMBOA MWANADAMU ILIBAKI KUWA NEEMA KATIKA YESU KRISTO. YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUWEKWA MISINGI YA DUNIA SO KILA UNACHOKIONA KATIKA BIBILIA NI KWA WATU WOTE KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. ACHA KUSOMA BIBILIA KAMA KITABU CHA HISTORIA
Umenena,,, anainjili ya kimapokeoHuyo baba yako mdogo ndo maana walimtimua hawakumpa upadre.
Kwa mtazamo wake huo lazima angeacha wito.Amani iwe kwenu wapendwa!
Siku ya mwaka mpya nilikutana na Baba yangu mdogo ambaye alisomea upadre hadi level ya ushemasi na kwakweli alibakiza muda mfupi sana kupewa daraja la upadre, isivyo bahati aliacha kuendelea na wito wa upadre na hivyo aliamua kuwa mlei (mwanandoa).
Sasa juzi hiyo tukiwa tunapiga stori kuhusu mambo ya kanisa na kuhusu maandiko ya biblia pamoja na mafundisho aliniambia kitu ambacho sikukitegemea kutoka kwake. Aliniambia watumishi wa Mungu wako wa aina mbili, kwanza wako wale waliosoma BIBLE KNOWLEDGE halafu wako wale waliosoma SCRIPTURES. Nikamuuliza nini utofauti wa watu hawa?. Aliniambia kama umesoma scriptures kama yeye yaani kama mapadre wanavyosoma basi hutakuwa na complications juu ya biblia. Anasema mtu aliyesoma scriptures anafundishwa biblia kwa kina , chimbuko la andiko hilo , sababu za kuandikwa kwake na mazingira yaliyopelekea kuandikwa kwa kitabu hicho. Kwahiyo kuna vitabu viliandikwa kwa ajili ya watu wa jamii moja ya wana wa Israel mfano Walawi kitabu hicho kiliandikwa kwa watu hao, kwasababu maalum na kwa mazingira ya wakati huo. Anasema kuchukulia kitabu hicho na kukikumbatia kwa waamini wa Tanzania wa karne ya 21 si kosa lakini pia si sahihi sana. Anasema si kosa kwasababu huenda liliandikwa kuonya jamii na kuwapa muongozo ambao huenda mpaka leo unahitajika, lakini siyo sahihi kwasababu kwanza hakikulenga jamii au kanisa la sasa.
Alisema yapo mafundisho mengi ambayo wakristo wanafundishwa kutoka kwenye biblia ila hayakuandikwa kwa ajili yao. Anatolea mfano sera ya ujamaa ambao kwa wakati huo ulikuwa sahihi lakini kwasasa au kwa miaka zijazo hazitakuwa sahihi kutokana na kubadilika kwa mazingira na kutokana na kutoweka kwa walengwa. Anasema VITABU KWENYE BIBLIA VINAFAA KWA MAFUNDISHO ILA VITABU VYA AGANO JIPYA NDIVYO VYA LAZIMA KWA MKRISTO YEYOTE YULE KUVISHIKA, KUVIFUATA KWA USAHIHI WAKE NA KUVIISHI. ANASEMA UKISTO NI UFUASI WA YESU KRISTO NA HAKUNA UFUASI WA KRISTO WAKATI WA KITABU CHA MAMBO YA WALAWI. Akaendelea kusema agano jipya ndilo msingi wa imani ya kikristo na ukristo umejengwa juu ya imani ya mitume wa Yesu na manabii.
Mwisho akanimbia wale wachungaji waliosoma bible knowledge wao wamesoma biblia na namna ya kuitafsiri lakini kuna vitu vingi vya msingi hawajasoma wala kufundishwa , yaani kwa kifupi anasema wana uelewa wa kati kwenye maandiko.
Nini maoni yako.
MnapotoshwaHata mimi naona hivyo.
Ila hata huko kwenye agano jipya kuna vitabu bado havifai kwa wakristo wote. Mfano nyaraka za Paulo....nyingi aliandika kulingana na makabila na tamaduni na mazingira ya wakati huo.
Kikubwa ni kuacha dhambi , ukiacha dhati utachagua kitabu cha kusomaHata mimi naona hivyo.
Ila hata huko kwenye agano jipya kuna vitabu bado havifai kwa wakristo wote. Mfano nyaraka za Paulo....nyingi aliandika kulingana na makabila na tamaduni na mazingira ya wakati huo.
Yesu alikuja kutimiza torati na sio kuiondoa usipotoshe ndugu nakukaribisha tujifunze kwa unyeyekevu huku tukiomba Roho mtakatifu atufundishe neno lakeSi kweli hata kidogo, mazingira yalimfanya Mungu atoe sheria na taratibu kwa wana wa Israel kwa wakati huo tu na hakulenga jamii nzima ya dunia wala karne nyingi zilizokuwa zinakuja. Hapa ndipo kuna umuhimu wa kusoma scriptures. Mfano habari ya talaka, habari za kufunga, habari za kutoa sadaka za kuteketeza, habari za vyakula etc. Haya ni mafundisho na maandiko kamili ya biblia lakini zilihusu jamii ya wana wa Israeli kwa wakati na mazingira yale ndiyo maana baadaye Yesu Kristo anakuja kuyarekebisha.
Mungu wake kashindwa kumpamajibu sahihi? Au hayupo?Labda hana majibu sahihi.
Mbona hutoi sadaka za kuteketezwa kama walawi(makuhani? walivyofanya?kila andiko lenye pumzi ya MUNGU lafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kuwaongoza,na kwa kuwaadibisha katika haki; ili kila mtu wa MUNGU awe kamili,amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema;
haya mambo yanahitaji sana maombi na ufunuo wa akili sio darasa,ikiwa hayo aliyosema yako sahihi basi Biblia yote haiko sawa,LA HASHA hakika yeye ndio hayuko sahihi kabisa;
Biblia haikuandikwa kwetu ila imeandikwa kwa ajili yetu;