La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 471
- 737
- Thread starter
-
- #41
Amina kaka nimekuelewaBasi kama unaamini hivyo, wewe wakaribishe, maana unaweza sema huyu simkaribishi sio mwema kumbe ndio mwema, cha msingi izingire nyumba yako kwa damu ya Yesu, ili kama anakuja na matunguli yake ayaache huko huko
Hasa miccmBaadhi ya watu si wazuri.
Thibitisha uwepo wa roho ili nijue , na sio kutoa povu kisa umeshindwa kuthibitisha kama hauwezi sioni haja ya kuendelea kuhojiana na wewe ? Sawa bintiKukusoma tu inatosha kutambua hilo
Kwann nikaushe ua nawe ni miongoni mwa wenye roho chafu maana kazi yenu kubwa ni kupinga kuficha uovu mtendao
Unauthibitisho gani kwa hili? Roho ni kitu gan. ?unaweza thibitisha uwepo wake?H
Mtu asiye na iman kiroho hawez kuwa mwema
Ila tabia njema inaweza kuwepo bila imani ya kiroho ila inategemea
Ni kweli kabisa, kuna ndugu wa namna hii pia.Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Hii ni kweli kabisaEpuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Kuna mmoja naishi nae hapa kahamia kutoka ukatoliki mpaka mlokole yani ni tabu kila ndoto anayoiota anataka aitafsiri na tafsiri nyingi ni uongo mtupu, jamaa ni fundi umeme mzuri sana lakini ajabu kila akiitiwa kazi hataki anasema hizo kazi zinakuja katika mrengo wa kishetaniHuna tofauti na mlokole aliesema ameoteshwa Au ameona shida sehem ila hawezi ikemea.
Moja ya sababu wananchi wengi wa Bongo land hawaendelei ni miroho ya ubinafsi kama hii ambayo inawaza shirki tu. Akuloge nani bwana weweeEpuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Nina ndugu zangu wako hivi.Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Weka uthibitisho bayanaHii ni kweli kabisa
Upo sahihi, kila kitu kinatokea Kwa sababu...!Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Tuna tatizo kubwa la afya ya akili , dalili kubwa ni kuhisi kuna watu au vitu vinakufatilia🤔Moja ya sababu wananchi wengi wa Bongo land hawaendelei ni miroho ya ubinafsi kama hii ambayo inawaza shirki tu. Akuloge nani bwana wewee
WATANZANIA NDIO MAANA HATUENDELEI.Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
KWELI!Moja ya sababu wananchi wengi wa Bongo land hawaendelei ni miroho ya ubinafsi kama hii ambayo inawaza shirki tu. Akuloge nani bwana wewee
Wa maandishi au? 😜Weka uthibitisho bayana
Wa maandishi au? 😜