Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Hii ndio point.
Mwanaume mwenye hela anabakaje?

Mkewe aache useng* na braza wetu DED.

Mke mpumbavu.

#YNWA
Kama kuwagonga under 18 ni ubakaji basi wasichana wengi wanabakwa 😁 mtaani! Sababu kuna vitoto vya std 6 hadi form 2 vimewiva vinatafunwa balaa na hakuna rape cases! Hilo ni pigo la mke na kapitia udhaifu wa beki 3 kuwa minor.
 
Msijustify mambo ya kihuni hapa...DED amebaka na anatakiwa kufungwa maisha jela au miaka 30. Mamaeh.
Mkuu,Katika kesi ambazo huwa siziamini ni Kesi zote ambazo zinahusiana na suala zima la NGONO.Sisemi kwamba Naunga Mkono alichofanya DED ila ninachosema ni kwamba Kesi nyingi zinazohusiana na NGONO zinapokuwa zina migogoro ya kimaslahi basi huwa nakaa kwenye ile kanuni ya Innocent until proven Guilty-Beyond Reasonable Doubts.

Kwa nini huwa nasema hivi.Kwa mtu wa Nafasi ya DED kufanya tukio kama hilo ni fedheha,Ila kama Pia alitoa na kusambaza Taarifa ni Mke wake basi ni Fedheha+ na Tatu kama Kuna watu walijaribu kumshawishi binti akubali PESA ili tu afiche kuwa amebakwa basi ni Fedheha++ ila nitakwambia ukweli mchungu. Unaweza Kukuta Huyu Binti sio under 18.Unaweza kukuta Pia ilikuwa consent na kwamba Binti yuko under Pressure kutoka kwa Mother house.

Kwa Ufupi Kesi nyingi zinazohusiana na NGONO has pale ambapo anayehusika Ni Mke,Mume na Mwanamke wa Tatu huwa zina stori ndefu sana....

Ni Mtazamo wangu tu.Kama Amebaka Atandikwe Mvua zake 30.Ukiona hajatandikwa Mvua zake 30 Basi Ujue Hakubaka bali alidakwa
 
Umeandika mawazo yangu, nashukuru nimepitia kwanza kabla sijaandika maana umesema kila kitu.
Hii post imekupa heshima yangu.
Tusigeuze uovu uonekane jambo la kawaida, DED kapata alichostahili kadri ya matendo yake. Wengi wanaona ni rahisi kuongea kwa sababu huo uovu hauwahusu na haujafanyika kwao na hauwagharimu kwa namna yeyote ile.

Sitokaa nikubaliane na maovu yeyote yale hata kama niyafanye mimi, yakibainika ni haki kuwajibishwa.
Shukrani kwa heshima mkuu 🙏.
 
Mwanamke anayempenda mume wake lazima atakuwa upande wa mme wake hata kama ni jambazi
Mwanamke anapenda mume akiwa ndani ya miezi 6 tu ya kwanza. Mkishaanza kuishi kwa mazoea mapenzi yanajifia taratibu.

Nachokiona mke alishamchoka mumemwe tu na kuna uwezekano hali ya kunyimana unyumba ilishaanza inshort ndoa ilikuwa ICU. Mke amepata exit plan na kaitumia kikamilifu ili kuficha vipengele vyake na kafanikiwa kwa 100%
 
Wanapitia magumu sana hawa wasaidizi wa kazi, hiyo 50K wengine bado wanawadhulumu ndio maana wengine hufikia hatua ya kufanya matukio ya ajabu na ya kikatili kwenye familia za waajiri wao.

Wanastahili kuheshimika sio kwa sababu ya shida zake ndio iwe fursa ya kuwatumia tutakavyo. Kuna familia ndugu wote wa kiume wamepita na dada wa kazi, hii ni aibu na sio sawa kabisa.
 
Acha avune alichopanda, sisi tumeyajua hayo machache machache tuliyobahatika kuwekwa wazi nadhani kuna mengine zaidi ambayo yamepelekea hadi kufikia huku.
 
Kwa taarifa jamaa ana wake wawili, mmoja Kigamboni(mke mkubwa) na bi mdogo ni mwalimu kamwamisha Tanga kamleta Mafia

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 

Tangu nijiunge na JamiiForums sijawahi kuona mtu amejihoji maswali ya kijinga kama huyu. Sidhani kama kuna mtu atakufunika kwa kujihoji maswali ya kijinga zaidi ya haya.
 
dronedrake hii ni agenda ya kikao kijacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…