Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Nikosa la jinai lakini tujiulize je vyumba vya wananchi wetu huwa askari tunalala humu kuwachunga? Tunaposema nikosa maana yake kuwa hatukubali jambo hili kufanyika hadharani lakini sio kuwa tunafanikiwa kuwazuia hawa watu kwasababu hatulali ndani mwao
 
Nashauri Mahakama zote kabla ya kutatua matatizo kama haya waanze na swala kwa walengwa kuwa je mlikubaliana na mkafanya kwa hiari yenu? Majibu yao ndiyo yawaongoze katika kutatua haya maswala badala ya kuwahukumu kwa lazima kumbe wao wamekubaliana
 
Upinde mmoja umepta like mbili hapa inaamana mko machoko wa3[emoji706][emoji706][emoji706]
Wewe ndugu yangu kinachonishangaza ni wewe kuniingiza kwenye hili swala badala ya kuchangia mada.
 
Wanashinda kwa kusema kuwa wanafanya kwa hiyari yao wenyewe hawamlazimishi mtu
 
Sema kuwa inakataza hadharani na sio inafanikiwa kuzuia hawa watu kwasababu serikali haifwati watu vyumbani. Na ndani ya chumba ndiko watu wanakochapa hii kandanda
 
Nakuunga mkono ndugu yangu si Sawa kumpeleka mahakaman
Solution pekee ni kumtia shaba tu au kumtia kisu afie mbele tunapoteza muda kuwapeleka mahakaman
 
Mbona mnakuwa wapumbavu sana nyinyi vijana wa siku hizi? Afu ndo mnataka katiba mpya. Iliyopo tu hamuielewi. Kwa mujibu wa sheria za sasa ni marufuku kufanya mapenzi kinyume na maumbile. In short, mnduku wako ni nyara ya serikali. Ni takwa la kisheria. Ukibanduana isivyo utashtakiwa. Ngumbaru mkubwa wewe
 
Hakuna Cha Mwanasheria
Wewe ni Choks...
Mmekua na uhuru wa kuongea sana
Basi tu
Ndugu kabla ya kumuita mtu choko kwanza nyote wawili mnapaswa kuonesha watu valvu zenu ili wajirizishe nani kaliwa na ambaye hajaliwa
 
Sio kila mtu anayeelezea jambo fulani basi maana yake ni kwamba analifanya au analiunga mkono lifanywe. Wakati mwingine inabidi tuzichambue hoja kwa mantiki zake. Kwani wakili anayesimama mahakamani kwa niaba ya mwizi, naye ni mwizi? La hasha, ndio maana mawakili wakaitwa kuwa ni maafisa wa mahakama, maana wanaisaidia mahakama kupata tafsiri sahihi, bila kujali wapo upande wa anayeshtaki au utetezi
 
Nakuunga mkono ndugu yangu si Sawa kumpeleka mahakaman
Solution pekee ni kumtia shaba tu au kumtia kisu afie mbele tunapoteza muda kuwapeleka mahakaman
Kule mahakamani ni kupoteza muda na ukizingatia maswala kama haya ni ya aibu
 
Waeleweshe ndugu zetu hawa kwasababu wana tatizo la kutafsiri hii ndiyo changamoto ya Watanzania wengi, huwa wanabadilisha jambo kuwa baya au kumuwekea mtu maneno mdomoni angali hakuyasema
 
Ndugu kabla ya kumuita mtu choko kwanza nyote wawili mnapaswa kuonesha watu valvu zenu ili wajirizishe nani kaliwa na ambaye hajaliwa
Sipaswi kubishana na shoga hata kama ni sekunde Moja.
 
Sipaswi kubishana na shoga hata kama ni sekunde Moja.
Tuthibitishie kuwa wewe sio shoga kwa kutuonesha valvu yako kama ipo salama. Kwakufanya hivyo basi watu watakuamini kinyume na hapo utakosa ushawishi
 
SAS na wew unajidai mlokole

Huu Uzi unashida gani ,we ndio mwenye shida HV vitu vipo enzi na enzi huko sodoma na gomora vilikuepo

Hapa tunajadili tuone sheria zetu ziko VIP kwenye ku deal na vitu Kama HV

In short haviepukiki
UNNATURAL OFFENCES, CONTRARY TO SECTION 154 OF TANZANIA PENAL CODE, CAP 16 R. E 2022.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…