Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Tatizo huelewi hata swali linakusudia nini. Kwa asiye mgeni hawezi kuuliza mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na utawala wa Magufuli.Nikuulize wewe umekuja lini kwenye nchi yetu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo huelewi hata swali linakusudia nini. Kwa asiye mgeni hawezi kuuliza mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na utawala wa Magufuli.Nikuulize wewe umekuja lini kwenye nchi yetu ?
Mkuu sio ujinga kuanza moja..Alishindwa kujitumbua kw PhD feki.
Mbona wewe hukuuawa ?
Ni kweli kabisa hakuna wa kumkaribia kwa ukatili aliokuwa nao.Hata Wakimsema Vyovyote Vile
Lakini Magufuli Atabaki Kuwa Magufuli na Sioni Wakumkaribia Hata kwa 20%
Jibu,alimuua nani?Wewe umekuja lini Tanzania?
Duh !Hata Wakimsema Vyovyote Vile
Lakini Magufuli Atabaki Kuwa Magufuli na Sioni Wakumkaribia Hata kwa 20%
Huo ndiwo ukweli.
Wengi wao wapo hapo kwa namna moja ama nyingine kwa msaada wa Hayati hususani wana siasa.
Pamoja na kwamba baadhi ya wateule walitenguliwa lakini ni imani yangu waliobaki wapo wasiofurahishwa na kunangwa kwa boss wao wa awali!
Kwani unadhani hata sisi tulikuwa tunapenda magufuli alivyo kuwa anakashifu wastaafu walio muweka madarakan ,tulikiwa hatupend kabisaHuo ndiwo ukweli.
Wengi wao wapo hapo kwa namna moja ama nyingine kwa msaada wa Hayati hususani wana siasa.
Pamoja na kwamba baadhi ya wateule walitenguliwa lakini ni imani yangu waliobaki wapo wasiofurahishwa na kunangwa kwa boss wao wa awali!
Huyu tutampopoa mpaka mwisho,alizoea kusifiwasifiwa na kuogopwa,amekufa Ben umemuona nani anamsema vibaya humu?Hata Wakimsema Vyovyote Vile
Lakini Magufuli Atabaki Kuwa Magufuli na Sioni Wakumkaribia Hata kwa 20%
Si waachie ngazi waende kwenye kaburi la kipenzi chao wakahiji!Huo ndiwo ukweli.
Wengi wao wapo hapo kwa namna moja ama nyingine kwa msaada wa Hayati hususani wana siasa.
Pamoja na kwamba baadhi ya wateule walitenguliwa lakini ni imani yangu waliobaki wapo wasiofurahishwa na kunangwa kwa boss wao wa awali!
Hilo swali la kijinga maana kaua wengi sio lazima kwa mkono wake hata kwa kauli tuuAlimuua nani?
HakikaHata Wakimsema Vyovyote Vile
Lakini Magufuli Atabaki Kuwa Magufuli na Sioni Wakumkaribia Hata kwa 20%
Kwa hiyo ulitakaje? Tuheshimu na kufanya nae kazi aliyopo au aliyekufa?. Rais hapangiwi cha kusema wala kutenda kwa kuwa yeye ndiye alpha na Omega kwa sasa. Tabia hii ya kuzungumzia watangulizi wake aliyeasisi unamjua?Huo ndiwo ukweli.
Wengi wao wapo hapo kwa namna moja ama nyingine kwa msaada wa Hayati hususani wana siasa.
Pamoja na kwamba baadhi ya wateule walitenguliwa lakini ni imani yangu waliobaki wapo wasiofurahishwa na kunangwa kwa boss wao wa awali!
Jambazi yule,Hata Wakimsema Vyovyote Vile
Lakini Magufuli Atabaki Kuwa Magufuli na Sioni Wakumkaribia Hata kwa 20%
Shauri yao. Wakanywe sumu wafe. Huyo boss wao yeye alikuwa anatukana watu kabisa.." Kuna viongozi wastaafu wanawashwawashwa". Kikwete ni kaka yake, halaf ni mwanaume kamili, unavyosema anawashwa washwa, anawashwa washwa wapi? Kama sio matusiHuo ndiwo ukweli.
Wengi wao wapo hapo kwa namna moja ama nyingine kwa msaada wa Hayati hususani wana siasa.
Pamoja na kwamba baadhi ya wateule walitenguliwa lakini ni imani yangu waliobaki wapo wasiofurahishwa na kunangwa kwa boss wao wa awali!