Siasa, unafiki na usanii: Ufaulu wa kidato cha nne mwaka 2023 umejificha ndani ya divisheni 4

Ccm wameingiza siasa kila sehemu, Michezo siasa, dini siasa, elimu siasa, miundombinu siasa, yaani kila sehemu siasa.Nawashangaa vijana wanaopewa 20k ku push agenda ambazo wenywe zinawaumiza na ndugu zao.
 
Kanisa Moja Takatifu La Mitume
 
So, mafundi ni watu wajinga wajinga?
Elewa nilichoandika..Hawa madogo wengi wao hawawezi kurisiti mitihani,Wanamaliza form four na elimu ya kujumlisha maeneo na vipeo..matokeo yao hayaqualify hata kuingia kwenye certificates,ahueni yao ingekuwa at least vyuoni vya ufundi wajifunze skills za kujipatia kipato lakini hata hivyo vyuo ni vichache sana. Wapi nimetaja mafundi ni wajinga?
 
Ulitaka wengi wapate Divisheni One???? Sijakuelewa..
Hiyo ni Statistical Distribution table.. ambayo ni Normal hapo
Hujanielewa bado. Nimesema kwamba ufaulu umejificha kwenye divisheni foo. Kumbuka hata hao maelfu ya wanafunzi wanaopata divisheni foo, huhesabika kwamba wamefaulu wakati kiuhalisia divisheni foo haina maana yoyote.

Hapa ndipo utapeli wa serikali unapoanzia. Wanajua fika kwamba wanafunzi wanaopata divisheni 1 mpaka 3 wakijumlshwa wote hawawezi kufika 20% ya wanafunzi wote. Kwa hiyo, serikali inatumia hilo kundi la divisheni foo kuwahadaa wapigakura kisiasa.
 
Mimi nimelipa kodi ili serikali iwanunulie watoto wangu vitabu na kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia lakini serikali haijatimiza majukumu yake ipasavyo. Ulitegemea nimfundishe mwanangu mimi mwenyewe wakati nalipa kodi au nifanyeje?
 
""Mwanafunzi aliyepata divisheni foo hastahili hata kupewa cheti. Akafanyie nini hicho cheti? Hakina maana yoyote ile.""""
ww nadhani ni mjinga zaidi
 
Divisheni foo ina faida gani katika nchi hii? Buku saba zimekuharibu ubongo.
Unataka kila mtu awe na one halfu iweje? udhani inchi ilio jaa wezi hivi ones zitasaidia??
Haya mtu kapata one kaenda kusoma sociology, wa four karnda certficate na diploma ya Clinical medicine,mechanics au hot culture sasa hapa nan bora???

shida iliopo vyuo vikuu theory ni nyingi kuliko practicals, Vyuo havina vifaa kabisa atleast kwa afya wanajitaidi na upande wakilimo SUA

IZO VISION HAPO HAO WATU WANATEGEMEANA SANA
 
Hayo matokeo ya marian na boys girls umeyatoa wapi mkuu?




 
Wewe unashauri nini kifanyike kukabiliana na hii hadaa ya serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…