waongeze walimu mashuleni na usahili wa walimu uwe na interview sio wa makusanyo,mfano ujerumani kazi ya heshima na ngumu kuipata ni ualimu hapo taifa linatakiwa liweke mdhaha kando kabisa.
Waboreshe miumdobinu ya ufundishaji kulingana na technologia, mitaala iwe inapitiwa kila baada ya miak miwili au mitatu.
Pia hapa secondary combi zianzie form Two
art
business
Language
Aplied science
Health science
Enviromental science
Profesional zianzie mbali maana wahenga husema samaki mkunje angali mhbichi.
LAKIN KWENYE UCHAGUZI WA WALIMU WAWEKE MDHAHA KANDO PIA WAWALIPE VIZURI