Siasa, unafiki na usanii: Ufaulu wa kidato cha nne mwaka 2023 umejificha ndani ya divisheni 4

Kabisa mkuu. Tukumbuke watoto hawa wengi ni under age (miaka 15, 16 na 17). Serikali ndio inahusika kuua future yao halafu wanaturudishia sisi wazazi tuwapeleke wapi? Serikali hii ina mambo ya kipumbavu sijapata kuona.
Hao wanao maliza chuo kikuu,pia mnarudishiwa vile vile..huwa mnawapeleka wap? Maana ajira hakuna
 
Kwanini serikali isifute shule za kata na kuboresha shule hizi kwa manufaa ya wote?

Hapa sio kuzifuta shule za kata, nikujua nani anahitaji elimu gani?

Sio kila mtoto anahitaji hizi mbilinge za masomo ya namna hii.

Pia waboreshe upatikanajibwa walimu na miundombinu mingine.
 
Ccm ni JANGA
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
 
Hao wanao maliza chuo kikuu,pia mnarudishiwa vile vile..huwa mnawapeleka wap? Maana ajira hakuna
Your argument is unfounded. Kwa hiyo kwa sababu hakuna ajira unashauri serikali itoe elimu ya ovyo ili wanafunzi wengi wafaulu kwa ufaulu wa divisheni foo ya serikali?
 
Your argument is unfounded. Kwa hiyo kwa sababu hakuna ajira unashauri serikali itoe elimu ya ovyo ili wanafunzi wengi wafaulu kwa ufaulu wa divisheni foo ya serikali?
Iwe One ama Foo..hizo elimu hazina impact zozote kwenye jamii kwa dunia ya sasa. Elimu za kukariri zimepitwa na wakati. Ndo maana tunahitaji mabadiliko kwenye mfumo wa elimu uendane na mahitaji sahihi
 
Wewe unashauri nini kifanyike kukabiliana na hii hadaa ya serikali?
waongeze walimu mashuleni na usahili wa walimu uwe na interview sio wa makusanyo,mfano ujerumani kazi ya heshima na ngumu kuipata ni ualimu hapo taifa linatakiwa liweke mdhaha kando kabisa.
Waboreshe miumdobinu ya ufundishaji kulingana na technologia, mitaala iwe inapitiwa kila baada ya miak miwili au mitatu.

Pia hapa secondary combi zianzie form Two
art
business
Language
Aplied science
Health science
Enviromental science
Profesional zianzie mbali maana wahenga husema samaki mkunje angali mhbichi.
LAKIN KWENYE UCHAGUZI WA WALIMU WAWEKE MDHAHA KANDO PIA WAWALIPE VIZURI
 
Unadhani serikali hii ya kifisadi iliyojaa wachumiatumbo, chawa na kupe inaweza kutekeleza hili?
 
Iwe One ama Foo..hizo elimu hazina impact zozote kwenye jamii kwa dunia ya sasa. Elimu za kukariri zimepitwa na wakati. Ndo maana tunahitaji mabadiliko kwenye mfumo wa elimu uendane na mahitaji sahihi
Serikali tayari imeanza mchakato wa kuhamia kwenye mtaala wa CBC bila kufundisha walimu (on-job training) na wala hakuna vitendea kazi na mazingila ya kutekeleza mtaala mpya. Hali itakuwa mbaya zaidi kwenye huu mtaala mpya kuliko huu wa kukariri.
 
Bila kufanya jambo huyu Bibi anaitumbukiza TANGANYIKA shimoni!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Iwe One ama Foo..hizo elimu hazina impact zozote kwenye jamii kwa dunia ya sasa. Elimu za kukariri zimepitwa na wakati. Ndo maana tunahitaji mabadiliko kwenye mfumo wa elimu uendane na mahitaji sahihi
Kama vipi serikali iachane na elimu dunia iwe inatoa elimu akhera tu kama wanavyotaka wavaa shungi akina FaizaFoxy
 
Maisha hayaangalii division one wala 4.

Diamond ana division 4 lkn anawazidi akina Professor Kabudi na prof. Mkenda waliopata division 1.
 
Elimu zote duniani, akhera ni pepo au moto. Kazi kwako.
Kwa hiyo unashauri tuache kuingia madarasani twende madrasa au unataka kusemaje bi mkubwa?
 
Kuna jamaa niliona kwenye sherehe ya Manara anawatukana waliosoma kwamba yeye ni Zero Ila anawaongoza wenye Degrees Masters na PhD, hizi Si dharau hizi zinazofanya madogo wakaandike matusi kwenye pepa
Huyo atakuwa alikula ndumu sio bure aisee! Watu wana dharau sana.
 
Hao wenye four ni ziro hizo…. Wamedanganywa! Ndio maana siku hizi hawatangazi shule wala wanafunzi waliofanya vizuri au vibaya… wanataka kuficha madudu…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…