SIASA ZA VITA: Imeanza kuzungumzwa kwa dhati kama hapo kabla Marekani haijatumia bomu la nyuklia, kuwa inaepusha mauaji zaidi kwa kutumia nyuklia!

Duuuh kuhusu hii habari nimeijua leo, basi mwenye nguvu aheshimiwe tu

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Ebu tuletee mkataba wa Minsk tuuone maana unaipendelea urusi pekee....Vp kuhusu ukraine,Moldova na Georgia na finland na latvia na beralus.. . Ebu uweke mezani tuuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…