Wewe hebu nyama mbona unayaelewa mambo kinyume na maumbile? Ni mara ngapi Putin alitaka maridhiano tena ya mezani walimkatalia? Unaufahama mkataba wa MINSK? kaanze upya kupitia document zako juu ya mzozo huu nakuhakikishia huyo Emmanuel Macron angeenda kwa Putin mapema kabla ya vita pengine tusingekuwa hapa wewe unaona hilo ni bwawa la Petroli kuna mtu kashika moto anaonywa mara kadhaa aache yeye hataki anaamua kuliwasha bwawa sasa moto unawaka ndo wanataka kulazimisha moto uzime haiwezekani kila taifa duniani lina miiko na maadui zake nikuambie tu kuwa kuna mataifa mawili duniani yaani URUSI na USA mfano ikitokea leo Urusi ikapeleka silaha labda za kujihami MEXICO hakika US ataiambia mekiko iachane na huo mpango na ikiziba masikio itapigwa ndivyo hivyo kwa ukraine alipopokea mizigo ya aina hiyo kutoka magharibi saa hii anakula kichapo.
Ikifikia unadeal na mmojawapo kati ya USSR au US you need to be extra careful ukimess ujue unapigwa au uwe tayari kupigana hakuna compromise wala sovereign state hiyo ndiyo siasa ya dunia.