Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.

Je naye TL mikito yake si mnaijua?

Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.

Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.

Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
 
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.

Je naye TL mikito yake si mnaijua?

Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.

Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.

Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule

USSR
 
Mtu ambaye Mkutano wa Kitaifa woote umesimama ukaanza kumwongelea Yeye, Tundu Lissu ni zaidi ya umjuavyo.

Tulishaonya TL ni level nyingine.
Dunia ina watu wajinga kweli kwani ana level gani? Ya kipekee?, (kweli upuuzi hautakwisha kwa upunguani wa aina hii)
CODES OF ETHICS WALIZOKUBAKIANA NI LAZIMA ZIFUATWE NA ENDAPO MTU AKIZIKIUKA AWEKWE NDANI TU, HAIWEZEKANI KULEA UPUMBAVU NA UHUNI.
 
Rais kanyoosha mikono na kusema ataenda nao tu watu sample ya Lissu.Ameongeza kwamba kuna watu ndivyo walivyozaliwa.😂😂😂😂😂
Rais Samia kiukweli hana roho mbaya. Istoshe Dr Samia amewahi kufanya kazi ofisi moja na TL so anamjua vizuri wala hawana ugomvi zaidi ya chuki za mafisadi wa ccm
 
Dunia ina watu wajinga kweli kwani ana level gani? Ya kipekee?, (kweli upuuzi hautakwisha kwa upunguani wa aina hii)
CODES OF ETHICS WALIZOKUBAKIANA NI LAZIMA ZIFUATWE NA ENDAPO MTU AKIZIKIUKA AWEKWE NDANI TU, HAIWEZEKANI KULEA UPUMBAVU NA UHUNI.
Kwani kuna uhuni gani?

Unacholilia Rais Sami hawezi kukifanya ni Rais Muungwana sana sio kama yule roho mbaya wenu
 
Back
Top Bottom