Jiwe mpk amekaufa hana hamu na TLTL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe mpk amekaufa hana hamu na TLTL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Lisu katekenya kidogo kwa kwenda kuwasalimia wamasai wanadai katukana, kwani kuwasalimia wamasai ni tusi?Mtu ambaye Mkutano wa Kitaifa woote umesimama ukaanza kumwongelea Yeye, Tundu Lissu ni zaidi ya umjuavyo.
Tulishaonya TL ni level nyingine.
Nyuma ya keyboard na identity fake unajilinganishaje na gwiji la siasa.Nijilinganishe na mpuuzi yule ,acha masihara basi
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Nyani haoni kunduleWanakimbilia matusi
lini utaacha ukada we mpuuzi?TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Rais kanyoosha mikono na kusema ataenda nao tu watu sample ya Lissu.Ameongeza kwamba kuna watu ndivyo walivyozaliwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukioneshwa dole la kati unapanic ushajua limekuingia kwenye sehemu ya kutolea msosi ulio kula.Nijilinganishe na mpuuzi yule ,acha masihara basi
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
TL Namuona ni mtu mjinga mjinga fulani Ingawaje wapo wanaomtukuza na kumuona kama mtu bora kabisa, we differ in I. Q and intelegency akili yangu inamuona wa hovyo tena asiye na shukurani.
Yule kakuzidi kuanzia kichwani mpaka miguuni.TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Kusema kwamba hatukulelewa ni kuwatukana wazazi wetu waliotulea kwa tabu sanaDuniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.
Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.
Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Hakika tunasubiria ajibu kwa nguvu! hauwezi kusema watu hawana maadili, hawajapata mafunzo ya dini ya utotoni wakati wewe unasimamia Wamasai kuteseka kinyume na haki za kibinadamu na wenzako unaowasema wanapambana mbele ya mitutu ya bunduki kusaidia Wamasai kupatiwa haki zao za kibinadamu! Hapo aliyefunzwa na kushika mafunzo ya dini ni yupi?Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.
Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.
Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
"kumoto".Samia ndiye aliyechemka sasa anadhani wote wanasikia joto! Bora arudi Kizimkazi akanywe maji ya baridi apoze roho!
Ndiyo nini? Kiswahili hicho?"kumoto".
AahaaaaaDuniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.
Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.
Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Amshukuru mungu wake“…….tena hasiye na shukurani.”
Anatakiwa amshukuru nani? Kwanini?