Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

Hakika tunasubiria ajibu kwa nguvu! hauwezi kusema watu hawana maadili, hawajapata mafunzo ya dini ya utotoni wakati wewe unasimamia Wamasai kuteseka kinyume na haki za kibinadamu na wenzako unaowasema wanapambana mbele ya mitutu ya bunduki kusaidia Wamasai kupatiwa haki zao za kibinadamu! Hapo aliyefunzwa na kushika mafunzo ya dini ni yupi?
Unaswaga wamasai kama ng'ombe unawaita wanaokupinga eti hawana maadili ya dini
 
Kusema kwamba hatukulelewa ni kuwatukana wazazi wetu waliotulea kwa tabu sana
Hawa viongozi wa ccm ndiyo tuna mashaka na malezi yao hawana utu, huruma wala uzalendo hata punje huwenda walipasuka tu kwenye miti wakawa binadamu

Mimi siyo mwanasiasa lakini ukiniambia nimjibu huyu mama naweza kumjibu kwa kila alichoongea na akajiona ameongea pumba

Nimesikiliza hotuba huku nikiona aibu rais anaongea mambo ya ajabu

Hivi ana walimu wa kufunza watu hiyo katiba na wakaielewa?

Hivi alichoongea si ni sawa tu na kusema
Watu wafundishwe sheria kabla ya kuwa na sheria?
Huu ni utovu wa akili
Mama alitakiwa ajibu hoja za wananchi
 
Dunia ina watu wajinga kweli kwani ana level gani? Ya kipekee?, (kweli upuuzi hautakwisha kwa upunguani wa aina hii)
CODES OF ETHICS WALIZOKUBAKIANA NI LAZIMA ZIFUATWE NA ENDAPO MTU AKIZIKIUKA AWEKWE NDANI TU, HAIWEZEKANI KULEA UPUMBAVU NA UHUNI.
Wewe tutambie TL kakiuka codes zipi? Zile za kukubaliana mdomoni au zilizoko kwenye Katiba na sheria zetu?
 
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.

Je naye TL mikito yake si mnaijua?

Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.

Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.

Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
20230912_074013.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.

Je naye TL mikito yake si mnaijua?

Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.

Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.

Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Maza pumzi imekata amebaki na polisi pekee
 
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.

Je naye TL mikito yake si mnaijua?

Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.

Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.

Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Hii serikali mpaka kiti cha enzi kitakuwa kigumu kukalika kwa mtiti utakao fuata. Mpaka walichomfanyia JPM watakitamka hadharani na hapo ndipo shughuli itakavyokuwa moto usiozimika
 
CCM inaendeleza umasikini nchini Kuna haja gani kuendelea mayo Hadi miaka hii Neno Moja tu wanakimbilia police.Na nyie police kuweni waelevu wambieni wazijibu hoja.Hamuone police wa Kenya na Odinga.
 
CCM inaendeleza umasikini nchini Kuna haja gani kuendelea mayo Hadi miaka hii Neno Moja tu wanakimbilia police.Na nyie police kuweni waelevu wambieni wazijibu hoja.Hamuone police wa Kenya na Odinga.
Sahihi
 
Nijilinganishe na mpuuzi yule ,acha masihara basi

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa yule hana la maana. Tundu ni kama jongoo akiguswa tu anaacha safari anajikunja. Yeye Tundu yakimzidia tu anakimbilia ubalozi ili akasindikizwe kwenda ughaibuni.
 
Back
Top Bottom