Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ila miongoni mwenu hakuna japo Majanja mmoja anaye mkaribia.TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila miongoni mwenu hakuna japo Majanja mmoja anaye mkaribia.TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Ulichoandika hapa ni jinai kamili na adhabu yake ni kifungo cha miezi na faini ya 500000/-baada ya kumaliza kifungo!mpuuz ni mamako na huyo mamayenu debe tupu.
Mkuu hasira za nini?TL ni kichaa wa Mirembe ni binadamu ambae hafai kuwa kwenye jamii hata hao CDM waliopa Umakamu Mwenyekiti nao ni mazezeta tu
Unaswaga wamasai kama ng'ombe unawaita wanaokupinga eti hawana maadili ya diniHakika tunasubiria ajibu kwa nguvu! hauwezi kusema watu hawana maadili, hawajapata mafunzo ya dini ya utotoni wakati wewe unasimamia Wamasai kuteseka kinyume na haki za kibinadamu na wenzako unaowasema wanapambana mbele ya mitutu ya bunduki kusaidia Wamasai kupatiwa haki zao za kibinadamu! Hapo aliyefunzwa na kushika mafunzo ya dini ni yupi?
Mama alitakiwa ajibu hoja za wananchiKusema kwamba hatukulelewa ni kuwatukana wazazi wetu waliotulea kwa tabu sana
Hawa viongozi wa ccm ndiyo tuna mashaka na malezi yao hawana utu, huruma wala uzalendo hata punje huwenda walipasuka tu kwenye miti wakawa binadamu
Mimi siyo mwanasiasa lakini ukiniambia nimjibu huyu mama naweza kumjibu kwa kila alichoongea na akajiona ameongea pumba
Nimesikiliza hotuba huku nikiona aibu rais anaongea mambo ya ajabu
Hivi ana walimu wa kufunza watu hiyo katiba na wakaielewa?
Hivi alichoongea si ni sawa tu na kusema
Watu wafundishwe sheria kabla ya kuwa na sheria?
Huu ni utovu wa akili
Wewe tutambie TL kakiuka codes zipi? Zile za kukubaliana mdomoni au zilizoko kwenye Katiba na sheria zetu?Dunia ina watu wajinga kweli kwani ana level gani? Ya kipekee?, (kweli upuuzi hautakwisha kwa upunguani wa aina hii)
CODES OF ETHICS WALIZOKUBAKIANA NI LAZIMA ZIFUATWE NA ENDAPO MTU AKIZIKIUKA AWEKWE NDANI TU, HAIWEZEKANI KULEA UPUMBAVU NA UHUNI.
Genge Gani??Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.
Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.
Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Watu wajinga wanachekesha sana!TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Unateseka ukiwa umechuchumaa choo cha shimo au sink?TL ni kichaa wa Mirembe ni binadamu ambae hafai kuwa kwenye jamii hata hao CDM waliopa Umakamu Mwenyekiti nao ni mazezeta tu
Maza pumzi imekata amebaki na polisi pekeeDuniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.
Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.
Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Mi natamani afikishwe mahakamani tusikie vitu vyakeAkili ya TL labda ukusanye ccm wote hata waliokufaga miaka mingi ndio kwa mbaali mtamkaribia🤣🤣🤣
Hii serikali mpaka kiti cha enzi kitakuwa kigumu kukalika kwa mtiti utakao fuata. Mpaka walichomfanyia JPM watakitamka hadharani na hapo ndipo shughuli itakavyokuwa moto usiozimikaDuniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana.
Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora.
Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa wanatukana.
Kuwani unataka kusema walimfanyia nini?Hii serikali mpaka kiti cha enzi kitakuwa kigumu kukalika kwa mtiti utakao fuata. Mpaka walichomfanyia JPM watakitamka hadharani na hapo ndipo shughuli itakavyokuwa moto usiozimika
Chawa wanadhani wanamsaidiaEndeleeni kumponza Hangaya!
SahihiCCM inaendeleza umasikini nchini Kuna haja gani kuendelea mayo Hadi miaka hii Neno Moja tu wanakimbilia police.Na nyie police kuweni waelevu wambieni wazijibu hoja.Hamuone police wa Kenya na Odinga.
Kweli kabisa yule hana la maana. Tundu ni kama jongoo akiguswa tu anaacha safari anajikunja. Yeye Tundu yakimzidia tu anakimbilia ubalozi ili akasindikizwe kwenda ughaibuni.Nijilinganishe na mpuuzi yule ,acha masihara basi
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Hoja zipi CCM itashindwa kujibu maana kama chama tawala inaweza kupata maelezo ya kila hoja kutoka kwa wataalamu mbalimbali lukuki walioko kwenye serikali ya CCMWanakimbilia matusi