Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

Dunia ina watu wajinga kweli kwani ana level gani? Ya kipekee?, (kweli upuuzi hautakwisha kwa upunguani wa aina hii)
CODES OF ETHICS WALIZOKUBAKIANA NI LAZIMA ZIFUATWE NA ENDAPO MTU AKIZIKIUKA AWEKWE NDANI TU, HAIWEZEKANI KULEA UPUMBAVU NA UHUNI.
Mengine uwe unakubali hivyohivyo hata kwa kutulia kimya tu.Utapata ulcers buuuree!Wewe na Lissu ni mbingu na ardhi.Ungekuwa naye level moja tusingebisha kukuambia.
 
Mengine uwe unakubali hivyohivyo hata kwa kutulia kimya tu.Utapata ulcers buuuree!Wewe na Lissu ni mbingu na ardhi.Ungekuwa naye level moja tusingebisha kukuambia.
TL Namuona ni mtu mjinga mjinga fulani Ingawaje wapo wanaomtukuza na kumuona kama mtu bora kabisa, we differ in I. Q and intelegency akili yangu inamuona wa hovyo tena asiye na shukurani.
 
Wala hachagui. Chawa na mwenye chawa wote roho juu juu! TAML ni habari nyingine aisee!
Akili yenu imefikia ukomo wa uchanganuzi na kumuona ni wa kipekee /TUPO MAKINI SANA KUZUIA VISINGIZIO VYAKE VYOTE VINAVYOWEZA KUMSABABISHIA KUKIMBILIA UBELGIJI SEREKALI INAMPENDA MTANZANIA MWENZETU HUYU.
 
TL Namuona ni mtu mjinga mjinga fulani Ingawaje wapo wanaomtukuza na kumuona kama mtu bora kabisa, we differ in I. Q and intelegency akili yangu inamuona wa hovyo tena asiye na shukurani.
Yeah, hata maoni yasiyokuwa na hoja ya msingi na hivyo kuitwa ya kijinga ni maoni. Hiyo ndo domocrasia.
 
Akili yenu imefikia ukomo wa uchanganuzi na kumuona ni wa kipekee /TUPO MAKINI SANA KUZUIA VISINGIZIO VYAKE VYOTE VINAVYOWEZA KUMSABABISHIA KUKIMBILIA UBELGIJI SEREKALI INAMPENDA MTANZANIA MWENZETU HUYU.
Si wa kipekee ila kwa kweli ni jasiri na mwenye hoja zenye mashiko. Tunapimpinga na kumuona tumuonavyo, tufanye hivyo kwa hoja. Wako wengi ndani na nje ya CCM wenye uwezo kama wa TAML, wewe ni mmoja wao, lkn unafiki umetujaa na hatuko tayari kusimamia ukweli ili tu kulinda maslahi ya matumbo yetu.
What a shame!
 
Dunia ina watu wajinga kweli kwani ana level gani? Ya kipekee?, (kweli upuuzi hautakwisha kwa upunguani wa aina hii)
CODES OF ETHICS WALIZOKUBAKIANA NI LAZIMA ZIFUATWE NA ENDAPO MTU AKIZIKIUKA AWEKWE NDANI TU, HAIWEZEKANI KULEA UPUMBAVU NA UHUNI.
Endeleeni kumponza Hangaya!
 
Alichojitetea mama ni kile ambacho nyie chawa mlitakiwa kufanya.

Mmekazania uchawa na kuwinda teuzi mnasahau wajibu wenu kama chawa.

Wewe unazijua hizo code walizokubakiana? Wameanza kubaka code of conduct? Zilete humu utuoneshe zilizovunjwa!
 
TL Namuona ni mtu mjinga mjinga fulani Ingawaje wapo wanaomtukuza na kumuona kama mtu bora kabisa, we differ in I. Q and intelegency akili yangu inamuona wa hovyo tena asiye na shukurani.

Saikolojia ya kawaida inafundisha kuwa vile unavyomfikira mtu alivyo, unajionesha mwenyewe jinsi ulivyo! Na hiyo ni inferiority ya hali ya juu. Kubali kuwa kuna universal good!
 
Mama Samia alisema, moto huko. Watu hapa JF wakambeza
Samia ndiye aliyechemka sasa anadhani wote wanasikia joto! Bora arudi Kizimkazi akanywe maji ya baridi apoze roho!
 
TL ni mpuuzi mmoja sana anayejiamini ila kichwa maji sana yule

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Uwezekano mkubwa ni kwamba akili yako wewe inaweza usifike hata 10% ya akili ya Lisu.

Kipimo kimobawapo cha high IQ ni uwezo wa kufundishika. Fuatilia kila aliposoma Lisu, alitoka na nini kwenye performance ndipo utajiona kuwa upo chini ya mstari wa wajinga (below fools line).
 
Back
Top Bottom