Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Mliooa mnawezaje kumaster hii changamoto, au mnawapuuza tu watajua wenyewe?
Kimbelembele chako cha kutaka kuwa na Mapenzi na yeye kisikuponze yeye Muda mwingi anamuwaza X wake anaempenda ambae anajua kumsugua mpaka anarusha Mimaji, kwa HIO weka hilo akilini mwako usiishi kwa kumuwaza wakati yeye anamuwaza mtu mwingine
 
Kimbelembele chako cha kutaka kuwa na Mapenzi na yeye kisikuponze yeye Muda mwingi anamuwaza X wake anaempenda ambae anajua kumsugua mpaka anarusha Mimaji, kwa HIO weka hilo akilini mwako usiishi kwa kumuwaza wakati yeye anamuwaza mtu mwingine
Uhuh ukweli mchungu asee. Ila furesh nitazingatia.
 
Mkuu,

Nakuletea mwanamke anataka kukutumia message kila saa halafu kila siku muongee kwenye simu angalau masaa mawili.

Hapo vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…