Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Ahahaha πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Unaondoka mapemaaaa alaaah 😁😁😁
Kweli siwez mkuu, mwanzo nilikuaga nawabutua sana Bimkubwa akanambia acha utafungwa uwaachie wenzio. Siku hiz najiondokea tu bahari ikitulia narudi kuogelea.
 
Mimi sijasema wewe hauna akili 🀣🀣🀣
Sisi tunaeleweka sana, ukiwa na akili hata hupati taabu kutuelewa.
Lazima uwekeze matumizi mabaya ya akili na muda ili kuwaelewa nyie watu, mimi nawaza sana Pesa, Kazi, Muziki na Pombe-S*x kiasi. Mahaba siwezi kabisa na hayo kwenu ndo akili, right?
 
Kweli siwez mkuu, mwanzo nilikuaga nawabutua sana Bimkubwa akanambia acha utafungwa uwaachie wenzio. Siku hiz najiondokea tu bahari ikitulia narudi kuogelea.
🀣 🀣 🀣 pambana mkuu umenichekesha sana eti bahari ikitulia, ndio hivyo shemeji yako huku anaomba msamaha hata hajui kakosea nini .. inabidi mtuzoee nyie si mnatuita sie dhaifu
 
🀣 🀣 🀣 pambana mkuu umenichekesha sana eti bahari ikitulia, ndio hivyo shemeji yako huku anaomba msamaha hata hajui kakosea nini .. inabidi mtuzoee nyie si mnatuita sie dhaifu
Na huwa mnajua pa kutukamatia na mnakazia hapo hapoo, mimi nikibembeleza mara 3 hola.... huyooo. Na ukininyima ujue tu unanipoteza kabisa.
 
Back
Top Bottom