Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha πππππSasa huyu ndo kabisa mimi ningemwachia nyumba kama zawad ya taraka.
Mimi sijasema wewe hauna akili π€£π€£π€£Kwamba sina akill Boss, sio kwamba nyie ndo hamueleweki?
πSubiri uumwe mkuu utawakumbuka tu
M.niliwahi kimbia nyu.ba nkahamia goba mwezi tu nkajisikia afya siyangu mwili unataka kutengana na roho eee nkarudi na godorlo langu best
Lazima uwekeze matumizi mabaya ya akili na muda ili kuwaelewa nyie watu, mimi nawaza sana Pesa, Kazi, Muziki na Pombe-S*x kiasi. Mahaba siwezi kabisa na hayo kwenu ndo akili, right?Mimi sijasema wewe hauna akili π€£π€£π€£
Sisi tunaeleweka sana, ukiwa na akili hata hupati taabu kutuelewa.
Half haya mambo sikia tu yakikukuta ukute ndugu wamezima simu usiju wanahondomola utajua umuhimu wa mke........π
Kwani kyuma unayo peke ako?Mwanaume asiyejua kubembelezaβ
π€£ π€£ π€£ pambana mkuu umenichekesha sana eti bahari ikitulia, ndio hivyo shemeji yako huku anaomba msamaha hata hajui kakosea nini .. inabidi mtuzoee nyie si mnatuita sie dhaifuKweli siwez mkuu, mwanzo nilikuaga nawabutua sana Bimkubwa akanambia acha utafungwa uwaachie wenzio. Siku hiz najiondokea tu bahari ikitulia narudi kuogelea.
nilkua naitafta hii aseeeeπππππππππ
Mi wangu japo mpole ila kwenye ugomvi anakuaga mkali kama mbwa mwitu
Na huwa mnajua pa kutukamatia na mnakazia hapo hapoo, mimi nikibembeleza mara 3 hola.... huyooo. Na ukininyima ujue tu unanipoteza kabisa.π€£ π€£ π€£ pambana mkuu umenichekesha sana eti bahari ikitulia, ndio hivyo shemeji yako huku anaomba msamaha hata hajui kakosea nini .. inabidi mtuzoee nyie si mnatuita sie dhaifu
Umuhimu upo ila uo umuhimu uuone pia wakati wa raha sio uuone kwa faida ya kipindi cha matatizo.Half haya mambo sikia tu yakikukuta ukute ndugu wamezima simu usiju wanahondomola utajua umuhimu wa mke........
nilkua naitafta hii aseeeeπππππππππ
Mi wangu japo mpole ila kwenye ugomvi anakuaga mkali kama mbwa mwitu
njoo tarime ndo tunajua kubembelezaMwanaume asiyejua kubembelezaβ
Punguza ukali sasa πππππππnilkua naitafta hii aseeeeπππππ