Sahih sana, hatuoi ili tusaidiwe tukipata matatizo tunaoa ili tuenjoy maisha na ubora wa safar haupimwi mwishoni kama GPA ya Diploma, uboracwa safar ni average day to day scores.Umuhimu upo ila uo umuhimu uuone pia wakati wa raha sio uuone kwa faida ya kipindi cha matatizo.
Nilienda mara mwaka flan nkajiingjza mahusiaano na ka dada flan akawa akija tunarekebisha anaondoka weekend nikonqe poa snilkua naitafta hii aseeeeπππππ
Siwezi kuoa mimi sitaki shida mimiMkuu umeoa au ndo akinuna unakimbia nyumba kama mim?
kwani kanga inatoa damuAti mwanamke anapigwa na Kanga, kwetu anapigwa na Panga
Hahaaaaaa na sie tupo ashindwe yeye tuIshi na mwanaume
Lengo kubwa ni kuwa na kujenga familia.Sahih sana, hatuoi ili tusaidiwe tukipata matatizo tunaoa ili tuenjoy maisha na ubora wa safar haupimwi mwishoni kama GPA ya Diploma, uboracwa safar ni average day to day scores.
Muombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....
fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k
Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri π
ππUko na hisia za kupinga utapeli mkuu... Vyema ukafata kipawa ulichonacho.
Astakafillah astakafillah astakafillahHahaaaaaa na sie tupo ashindwe yeye tu
Nimeandika juuu tulikunywa ndan chumban gafla kulikuwa bIlikuaje mkuu
Safi kabisa, uvumilivu wa binadamu una kikomo na by nature mtu ni mbinafsi.Dunia hii hii mkuu au nyingine. Kuna watu wana ndoa, watoto na marafiki ila wanakufa huku wakisaidiwa na majirani. Hakuna pesa wala msaada
Kwa ufupi usijiwekee uhakika wa msaada kwa mtu ambaye hamjawahi kupitia shida kubwa pamoja. Utakuwa disappointed