Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Case closed πππMtu akutane na gume gume kama wewe, unabembeleza nini? Gone case.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Case closed πππMtu akutane na gume gume kama wewe, unabembeleza nini? Gone case.
naonewa sana ngoj nkajfunze ngumiDadeki hakuna Mke hapa kuna Komando Kipensi asie na technique.
Dah. Utatumia hela sana aiseeSawa sawa mkuu, shida hayo maujanja si wengine sio wanyama kiviiile kama kina Jay Melodyπ€£
kumbe ndo nyingi ivo,,bas wacha mm ni log out kwa mwaka 1 asseeππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί Ooooh nimekwisha mimi....
πππ Hainaga vipimo chuki chuki...
Nipe 1.5M yaani nahama mpaka jf humu ππππππ
Really.... Haya nikupe sh ngapi niendele kukufatilia wewe πππkumbe ndo nyingi ivo,,bas wacha mm ni log out kwa mwaka 1 asseeπππ
Connection puliiiizzOmba taraka tu kaolewe na Nice guys hawanaga shida kabisa mnafananafanana tabia.
Mxiuuu πππ nafuta na jf app kabsaReally.... Haya nikupe sh ngapi niendele kukufatilia wewe πππ
ππππ Hilo kiss auπππMxiuuu πππ nafuta na jf app kabsa
Ujue wanawake si wanaume wana vitu vyao hivyotembea na sauti ya ngoma tuWacha tu nitafute pesa Kaka nizitumie maana me mapozi sina.
Uliyo yaeleza Mimi nishuhuda mke wangu amekua msaada mkubwa kwanguMuombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....
fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k
Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri π
πππ NakujaKama upo sisiasi njoo dm sasa tusiharibu uziπ€£
Fyonzo heavy πππππππ Hilo kiss auπππ
Mi naelewa basi...Fyonzo heavy πππ
Hivi uko kwenye ndoa hizi changamoto za afya huwa zinatupata wanaume tu? Maana naona mara zote vitisho vinaelekezwa kwetu tu.Muombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....
fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k
Poor brain ππΆπΎββοΈMi naelewa basi...
Hata kutofautisha sijui.....
Mawazo yangu yote hilo ni kiss hapa nikahisi nabebwa hvi ππππ
Poor brain yaani nikipenda sielewi kitu...Poor brain ππΆπΎββοΈ