Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
jitahid kupenda kula sana sanaPoor brain yaani nikipenda sielewi kitu...
Nilogwe tuu ๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jitahid kupenda kula sana sanaPoor brain yaani nikipenda sielewi kitu...
Nilogwe tuu ๐๐๐๐๐
Kula nini sasa fafanuajitahid kupenda kula sana sana
Nakazia โ๏ธ โ๏ธMuombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....
fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k
Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri ๐
[emoji16] Punguza ubabe mkuuu.Kuna iyo ya kubadili mood ghafla na kujishaua kula izo tabia zinanikera sana. Mpo home story za hapa na pale unashangaa ghafla tu kanuna ukiuliza nini hajibu chochote, au mmetoka out anaagiza chakula au kinywaji halafu anagusa tu vichipsi viwili au anapiga kifundo kimoja cha soda ndo tayari kamaliza. Sasa hivi tukiaagiza kinywaji au chakula namwambia kabisa tangu mwanzo kama haujisikii kula au kunywa basi usiagize chochote hakuna atakaekulazimisha vinginevyo nakutimua hapa.
Kataa utapeli... Ata kwa kunena kisiri siri!Ahahah mimi nilikua naona kama ni hisia mbaya wacha tu nifate mila nioe lakin naona ntashindwa sasa.
kwa kiasi kikibwa kidogoHivi uko kwenye ndoa hizi changamoto za afya huwa zinatupata wanaume tu? Maana naona mara zote vitisho vinaelekezwa kwetu tu.

Kumbe unae๐๐๐๐
Mi wangu japo mpole ila kwenye ugomvi anakuaga mkali kama mbwa mwitu
Nawakataa kwa nguvu zote za mwil, za roho na za giza.
Kataa wanawake, hao ni rafiki zake nyoka....Ila nyie wanawake shit sana, aje na wewe nikukatae umo umo kama wenzio๐
Sqfi kabisa, weka code of conduct akishindwa kumatch apite hivi asitie hasara kizembe. Mimi aga akisusa namwekea cha ajabu nikitoka nikirud nakuta kimeliwa.Kuna iyo ya kubadili mood ghafla na kujishaua kula izo tabia zinanikera sana. Mpo home story za hapa na pale unashangaa ghafla tu kanuna ukiuliza nini hajibu chochote, au mmetoka out anaagiza chakula au kinywaji halafu anagusa tu vichipsi viwili au anapiga kifundo kimoja cha soda ndo tayari kamaliza. Sasa hivi tukiaagiza kinywaji au chakula namwambia kabisa tangu mwanzo kama haujisikii kula au kunywa basi usiagize chochote hakuna atakaekulazimisha vinginevyo nakutimua hapa.