Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Kuna iyo ya kubadili mood ghafla na kujishaua kula izo tabia zinanikera sana. Mpo home story za hapa na pale unashangaa ghafla tu kanuna ukiuliza nini hajibu chochote, au mmetoka out anaagiza chakula au kinywaji halafu anagusa tu vichipsi viwili au anapiga kifundo kimoja cha soda ndo tayari kamaliza. Sasa hivi tukiaagiza kinywaji au chakula namwambia kabisa tangu mwanzo kama haujisikii kula au kunywa basi usiagize chochote hakuna atakaekulazimisha vinginevyo nakutimua hapa.
 
Muombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....

fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k

Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri ๐Ÿ’
Nakazia โœ๏ธ โœ๏ธ
Timu 'Kataa Ndoa' huwa hawajui hili
 
Kuna iyo ya kubadili mood ghafla na kujishaua kula izo tabia zinanikera sana. Mpo home story za hapa na pale unashangaa ghafla tu kanuna ukiuliza nini hajibu chochote, au mmetoka out anaagiza chakula au kinywaji halafu anagusa tu vichipsi viwili au anapiga kifundo kimoja cha soda ndo tayari kamaliza. Sasa hivi tukiaagiza kinywaji au chakula namwambia kabisa tangu mwanzo kama haujisikii kula au kunywa basi usiagize chochote hakuna atakaekulazimisha vinginevyo nakutimua hapa.
[emoji16] Punguza ubabe mkuuu.
 
Kuna iyo ya kubadili mood ghafla na kujishaua kula izo tabia zinanikera sana. Mpo home story za hapa na pale unashangaa ghafla tu kanuna ukiuliza nini hajibu chochote, au mmetoka out anaagiza chakula au kinywaji halafu anagusa tu vichipsi viwili au anapiga kifundo kimoja cha soda ndo tayari kamaliza. Sasa hivi tukiaagiza kinywaji au chakula namwambia kabisa tangu mwanzo kama haujisikii kula au kunywa basi usiagize chochote hakuna atakaekulazimisha vinginevyo nakutimua hapa.
Sqfi kabisa, weka code of conduct akishindwa kumatch apite hivi asitie hasara kizembe. Mimi aga akisusa namwekea cha ajabu nikitoka nikirud nakuta kimeliwa.
 
Back
Top Bottom